Naibu Waziri Khamis Hamza - Fedha Zinatumika kwa Kusimamia Miongozo

Naibu Waziri Khamis Hamza - Fedha Zinatumika kwa Kusimamia Miongozo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MHE. KHAMIS HAMZA KHAMIS - FEDHA ZINATUMIKA KWA KUSIMAMIA MIONGOZO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Hamza Khamis (Mb) akiwa katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni yaliyoulizwa na Mhe. Zahor Mohamed Haji ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mwera

"Fedha za mfuko wa jimbo hutolewa kwa mujibu wa sheria ya mfuko wa jimbo sura 96 ya mwaka 2006. Aidha fedha hizi zinatumika kwa kusimamia miongozo, kanuni na taratibu za usimamizi wa fedha za umma" - Mhe. Khamis Hamza

"Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuatilia utaratibu unaotumika na Halmashauri za Magharibi A kwenye mfuko wa jimbo" - Mhe. Khamis Hamza
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-05-12 at 14.28.20.jpeg
    WhatsApp Image 2023-05-12 at 14.28.20.jpeg
    54.1 KB · Views: 4
Back
Top Bottom