Na Kuna wa Chanika gongola mboto wanaendesha vibaya sana nao wamulikweMapendekezo ya madereva wa kufutiwa leseni kwa Dar es salaam,njia za daladala,wanaotoka kigamboni kwenda Mkuranga na wale wanaotoka mwandege kigamboni, tukiweza kuanza na hao itakuwa salamu tosha kwa wale wa basi za mkoa[emoji848]