Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense.Naona unaponda sana karibu kila kiongozi anaeingia madarakani nikaona its better ukaingia ulingoni
Majaliwa yupo chama gani?Hii nchi ikiongozwa na Majaliwa tutatoboa mapema mno.
Nikiambiwa nichague kati ya Majaliwa na Samia sitopoteza muda Kumchagua Samia kwakuwa Majaliwa kama Majaliwa ana Mapungufu mengi Kubwa likiwemo la Uwongo na lingine la ziada la Unafiki. Simkubali 100%Hii nchi ikiongozwa na Majaliwa tutatoboa mapema mno.
PPT Maendeleo.Majaliwa yupo chama gani?
Itifaki tu ndio ilimfanya ashindwe kusema kweli kwamba "Magu hatunaye duniani" ila tukija kwenye ufanisi Majaliwa yupo strict mno hata Mpango hamfikii.Majaliwa ni mwamba!Nikiambiwa nichague kati ya Majaliwa na Samia sitopoteza muda Kumchagua Samia kwakuwa Majaliwa kama Majaliwa ana Mapungufu mengi Kubwa likiwemo la Uwongo na lingine la ziada la Unafiki. Simkubali 100%
Mi nakataa, kwa Yale MAELEZO yako pale naona kabisa huyu atatumika kupata kura 2025, baada ya hapo ni kupingwa teke kabisaa alafu watoto wakishua, walai wenzie waje washike nyadhifa muhimu wavune vya kustaafia... Ila sisi wa Kanda ya ziwa.. Hatutishwi na uteuzi huo.. Maana hauponyi maumivu ya Mpendwa wetu... 😁 😁Ondoa hapo neno may be na jua ya kwamba Dotto Biteko ndiyo next Premier wa Tanzania kuanzia mwaka 2025.
Nan huyo kakuwaSiku hizi umekua,hongera!! Unaonaje ukagombea ubunge hapo kawe?
Umemsahau na yule wa nishati, bado huko wizarani mmetemwa mbaya, hii ni danganya toto ya kuletewa msumbwaMkuu nadhani huwajui vizuri watu wa kanda ya ziwa,, na usirudie kupotosha watu na kuwafanya wazubae na huo uteuzi,, sikia nikwambie neno,, zaidi ya 70% ya watu wa kanda ya ziwa ni wasukuma na kama ulivyosema hakuna kitu kinawaumiza kichwa kama kuondokewa na mpendwa wao kimazabe mazabe,, (wasukuma kawaida huwa wanaamini kila kifo kina sababu za kutengenezwa na wanadamu,, huko hakuna kifo cha "mapenzi ya Mungu") na la pili kumbuka hakuna watu wenye ukabila kama wasukuma,, kuondolewa uwaziri wa ardhi Angelina Mabula kwao wanaona kama "dharau zimezidi" kama nilivyosema hawa watu wana ukabila sana huyo Biteko ni kabila gani,,?
Mimi ni msukuma upande wa mzazi mmoja na sipendi kuyaishi hayo lakini lazima niseme ukweli kwa namna ninavyowajua hawa ndugu zangu,,
🆔 Ya 2022 inamuona wa 2010 kilaza 😂😂Mama yako akinielewa inatosha sana, si lazima mpaka mtoto unielewe.
Jukumu langu ni kumfikisha mamako na siyo wewe pumbavu kabisa Fanculo.
Hatutaki majizi ya kijani tenaKanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.
Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.
Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama ( Mheshimiwa Rais Samia ) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.
Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.
Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.
Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu ( in advance ) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini ( tena kupita Maelezo ) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Kanda ya ziwa sio ngumu kwa ssiem maana wakazi wa kanda hiyo 65%-70% ni wasukuma ambao ni bendera fata upepo ya ssem ,hata kama wangenyimwa huduma zote na watawala wakajakuambiwa "tunawapenda na tunawajali ndugu zetu " basi kazi kwisha sasa wahaya na wakurya na jamaa zao ni kinyume haki bin hakiKanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.
Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mengi na 2. Kutengwa na kuonekana hawana Umuhimu Serikalini huku Wengine wakiondolewa katika Nafasi / Nyadhifa zao illilazimika Akili Kubwa kutumika ili kuwarejesha katika Mstari.
Hivyo basi Kuteuliwa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu ni kwa Kimkakati zaidi ili amrahisishie Kazi Mama ( Mheshimiwa Rais Samia ) Kuaminika, Kukubalika na kupata Kura nyingi kutoka Kanda ya Ziwa yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa na Makabila yenye Maamuzi na Ushawishi wa Kisiasa kwa Tanzania.
Kampeni za 2025 zikianza tu Naibu Waziri Mkuu Dk. Dotto Biteko atatumiza kama Lifti Kuu ya Kumbeba Rais Samia ambaye no doubt kuwa atagombea Urais wa Kupigiwa Kura Yeye kama Yeye tofauti na ilivyo sasa ambapo GENTAMYCINE sioni Aibu au Uwoga kusema kuwa Yeye ni Rais Deiwaka tu akiwa amechukua nchi baada ya aliyekuwa Boss wake John Pombe Magufuli kututoka duniani / Kufariki mwaka 2021.
Kanda ya Ziwa yote mpaka Mikoa ya Jirani watakuwa Wanaambiwa Nichagueni Mimi nifanye Kazi na Mtoto wenu Dk. Dotto Biteko Jambo ambalo kwa Sayansi ya Siasa na kwa Mazingira yatakayokuweko pamoja na Ushawishi wa Kiproganda itamsaidia sana Mama na CCM yake Kuzoa Kura nyingi Kanda ya Ziwa na Mikoa Jirani.
Kwa kumalizia tu GENTAMYCINE naomba nichukue nafasi hii adhimu ( in advance ) kabisa Kumpongeza Dk. Dotto Biteko kwa kwenda kuwa Waziri Mkuu Kamili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania November, 2025 huku nikimuomba awe makini ( tena kupita Maelezo ) ili yale ya Marehemu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Ni "msukuma" mwenzetuYani huyo Biteko anaushawishi gani huko kwenye hizo kura?
Kweli katiba yetu imerundima kila kitu kwa rais wote ni " ndio mzee' tumbo lijaeAtakua waziri mkuu lakini asiye na nguvu.
Acha uongo wewe... Mimi nimezaliwa Usukumani na nimefanya kazi Usukumani tena nimeingia mpaka kule Bush ndani ndani... Wasukuma hawana Ukabila kabisa, mimi nimepokelewa Usukumani hakuna anayenijua ila nimepewa Misosi ya kila aina tena bure kabisa... Kidogo nipewe na mke ila nikakataa kwa sababu nilikuwa ninae mtoto mzuri.Mkuu nadhani huwajui vizuri watu wa kanda ya ziwa,, na usirudie kupotosha watu na kuwafanya wazubae na huo uteuzi,, sikia nikwambie neno,, zaidi ya 70% ya watu wa kanda ya ziwa ni wasukuma na kama ulivyosema hakuna kitu kinawaumiza kichwa kama kuondokewa na mpendwa wao kimazabe mazabe,, (wasukuma kawaida huwa wanaamini kila kifo kina sababu za kutengenezwa na wanadamu,, huko hakuna kifo cha "mapenzi ya Mungu") na la pili kumbuka hakuna watu wenye ukabila kama wasukuma,, kuondolewa uwaziri wa ardhi Angelina Mabula kwao wanaona kama "dharau zimezidi" kama nilivyosema hawa watu wana ukabila sana huyo Biteko ni kabila gani,,?
Mimi ni msukuma upande wa mzazi mmoja na sipendi kuyaishi hayo lakini lazima niseme ukweli kwa namna ninavyowajua hawa ndugu zangu,,
Kongole Kwa kutumia Jicho la Tai kuona mwenendo wa Uchaguzi 2025..Kanda ya Ziwa ndiyo yenye Utajiri mkubwa wa Mikoa mingi na yenye Wapiga Kura wengi na ambao Wakiudhiwa na wasipotulizwa wanaweza kufanya Maamuzi yasiyotegemewa katika Sanduku la Kupiga Kura.
Baada ya Kugundua Watu wa Kanda ya Ziwa wana Visununu vikubwa Viwili 1. Kuondoka kwa Mtu Wao kuwa na Mashaka mu Deo Filikunjombe yasije Kumtokea na akawa Historia.
Huu upuuzi wa kusema wasukuma wanasikitishwa na kuondokewa na mtu wao ukome kwani yeye alikua nani mpaka asife? Aliambiwa achukuwe tahadhari ya korona akaleta ujuaji akafa naona kama mnataka kuibeba kama agenda narudia tena huo ni upuuzi.Mkuu nadhani huwajui vizuri watu wa kanda ya ziwa,, na usirudie kupotosha watu na kuwafanya wazubae na huo uteuzi,, sikia nikwambie neno,, zaidi ya 70% ya watu wa kanda ya ziwa ni wasukuma na kama ulivyosema hakuna kitu kinawaumiza kichwa kama kuondokewa na mpendwa wao kimazabe mazabe,, (wasukuma kawaida huwa wanaamini kila kifo kina sababu za kutengenezwa na wanadamu,, huko hakuna kifo cha "mapenzi ya Mungu") na la pili kumbuka hakuna watu wenye ukabila kama wasukuma,, kuondolewa uwaziri wa ardhi Angelina Mabula kwao wanaona kama "dharau zimezidi" kama nilivyosema hawa watu wana ukabila sana huyo Biteko ni kabila gani,,?
Mimi ni msukuma upande wa mzazi mmoja na sipendi kuyaishi hayo lakini lazima niseme ukweli kwa namna ninavyowajua hawa ndugu zangu,,