GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kifupi / Kiufupi Naibu Waziri wa Michezo Hamis Mwimjuma (alias Mwana FA) ulichokifanya leo ni Usaliti mkubwa na Usiovumilika dhidi ya Klabu yetu ya Simba SC.
Naushauri Uongozi wa Simba SC uache mara moja Kukuamini, Kukushirikisha katika Mambo yake na ikiwezekana hata Kadi yako ya Uanachama wakunyang"anye.
Poleni ila leo nina furaha isiyoelezeka.
Naushauri Uongozi wa Simba SC uache mara moja Kukuamini, Kukushirikisha katika Mambo yake na ikiwezekana hata Kadi yako ya Uanachama wakunyang"anye.
Poleni ila leo nina furaha isiyoelezeka.