Kwa Tanzania ataukosa huo Unaibu Wazili tu , ila kwa nchi zingine Angekamatwa nakufunguliwa mashtaka ya unyanyasaji na ukatili wakijinsia tena na hivi ni mwana CCM, intakaushiwa hadi itaisha hili lilikua ndo jambo la waandishi wa habali kukomali mpaka haki ya huyo kijana ipatikane, ila najua waandishi wa habali watapewa pesa mpaka itaisha kimyakimya. Na hilijambo limelichafua Taifa haswa kwa kufanywa na naibu wazili wa katiba na shelia je wengine hawafanyi zaidi ya hayo?
Wa haha kibwaUzi gani huu?
Watendaji wote wa CCM without exception ni changamotoView attachment 2823504
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa.
Hashimu Ally anadai, Pauline Gekul alitoa bastola, akamueleza achague kukalia chupa mwenyewe au apigwe risasi na mwili wake wakautupe katika Ziwa Babati. Alipogoma, wakampiga sana, wakamuingizia chupa sehemu ya haja kubwa.
Hashimu Ally anasema alituhumiwa na bosi wake (Pauline Gekul) kutumwa kuweka sumu ili kumuua Pauline Gekul, tuhuma ambazo hazijathibitishwa popote hata na jeshi la polisi, akasulubiwa sana kisha kukabidhiwa polisi Babati na kumpiga kila siku asubuhi na jioni, kwa siku nne.
Hashimu Ally anasema alikana tuhuma zote hizo akiwa kituo cha polisi Babati Mjini na hata chini ya mikono ya mateso ya Pauline Gekul. Baada ya kupigwa kwa siku nne mfululizo akiwa polisi Babati, alidhaminiwa na baba yake mzazi lakini baadaye akaitwa ofisi za Manyara ili kutoa maelezo.
View: https://m.youtube.com/watch?feature=shared&v=04BSzpoa6xo
Hata hivyo, Mbunge Pauline kupitia Katibu wake alikanusha taarifa hiyo katika ujumbe uliowekwa kwenye mitandao ya kijamii ukimtuhumu Hashimu kufanya udanganyifu na kushirikiana na washindani wa Pauline wa kibiashara kumfanyia ushirikina na baadaye ujumbe huo kufutwa kwa maelezo kuwa suala hilo liko mikononi mwa Polisi.
Kusoma zaidi kuhusu majibu ya pauline ingia >> Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Saa chache baada ya tuhuma hizi kusambaa na kupigiwa kelele na wadau mbalimbali ikiwemo wa JamiiForums, Rais Samia Suluhu, jioni ya tarehe 25 Novemba 2023, ametengua uteuzi wa Naibu Waziri huyo wa Wizara ya Katiba na Sheria.
Zaidi soma >> Breaking News: - Rais Samia Suluhu atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji
MaokotoNimesikitishwa na unyama uliotendewa huyo kijana. Ninashauri wafuatao nao wawajibike. (1) RPC wa Manyara (2) OCD wa Wilaya ya Babati (3) OCS wa Kituo cha Polisi cha Babati na Maaskari wote waliohusika kumtesa huyo kijana. Inakuwaje kijana anakaa Polisi muda wa siku nne akiteswa siku nne mfululizo bila dhamana. Hao wanatakiwa wafukuzwe kazi mara moja.
Ingekuwa nchi nyingine huyu mama angeishia sehemu mbaya sana. Kijamii angeonekana kama mtu hatari na kiutawala asingepata nafasi yoyote ya kuongoza na kisheria angefungwa kifungo kirefu.Ukatili wa kuingizwa chupa watuhumiwa njia kuu Nani ameasisi? Hili halikubali
Hakika. Hata kama dogo alifanya kosa gani hakustahili kuwekwa kilema kileIngekuwa nchi nyingine huyu mama angeishia sehemu mbaya sana. Kijamii angeonekana kama mtu hatari na kiutawala asingepata nafasi yoyote ya kuongoza na kisheria angefungwa kifungo kirefu.
View attachment 2823504
Hashimu Ally Phillemon, mkazi wa Babati Mjini anaeleza kwamba alikamatwa eneo lake la kazi, Paleii Lake View Garden, mali ya mbunge wa Babati Mjini, Pauline Gekul, Naibu Waziri wa Sheria na Katiba na kupigwa, kujeruhiwa na kuwekewa chupa katika maeneo ya haja kubwa.
Hashimu Ally anadai, Pauline Gekul alitoa bastola, akamueleza achague kukalia chupa mwenyewe au apigwe risasi na mwili wake wakautupe katika Ziwa Babati. Alipogoma, wakampiga sana, wakamuingizia chupa sehemu ya haja kubwa.
Hashimu Ally anasema alituhumiwa na bosi wake (Pauline Gekul) kutumwa kuweka sumu ili kumuua Pauline Gekul, tuhuma ambazo hazijathibitishwa popote hata na jeshi la polisi, akasulubiwa sana kisha kukabidhiwa polisi Babati na kumpiga kila siku asubuhi na jioni, kwa siku nne.
Hashimu Ally anasema alikana tuhuma zote hizo akiwa kituo cha polisi Babati Mjini na hata chini ya mikono ya mateso ya Pauline Gekul. Baada ya kupigwa kwa siku nne mfululizo akiwa polisi Babati, alidhaminiwa na baba yake mzazi lakini baadaye akaitwa ofisi za Manyara ili kutoa maelezo.
View: https://m.youtube.com/watch?feature=shared&v=04BSzpoa6xo
Hata hivyo, Mbunge Pauline kupitia Katibu wake alikanusha taarifa hiyo katika ujumbe uliowekwa kwenye mitandao ya kijamii ukimtuhumu Hashimu kufanya udanganyifu na kushirikiana na washindani wa Pauline wa kibiashara kumfanyia ushirikina na baadaye ujumbe huo kufutwa kwa maelezo kuwa suala hilo liko mikononi mwa Polisi.
Kusoma zaidi kuhusu majibu ya pauline ingia >> Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana
Saa chache baada ya tuhuma hizi kusambaa na kupigiwa kelele na wadau mbalimbali ikiwemo wa JamiiForums, Rais Samia Suluhu, jioni ya tarehe 25 Novemba 2023, ametengua uteuzi wa Naibu Waziri huyo wa Wizara ya Katiba na Sheria.
Zaidi soma >> Breaking News: - Rais Samia Suluhu atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji
Sio msagaji inawezekana anapitisha mlango wa nyuma,maana kwa mtu wa kawaida tena mwanamke sio rahisi kufanya vileBaikoko wenyewe chupa haizami kirahisi huko..
Huyu mama anaweza kua msagaji
Mheshimiwa ana baby face sema wezere ndo mzozoSio msagaji inawezekana anapitisha mlango wa nyuma,maana kwa mtu wa kawaida tena mwanamke sio rahisi kufanya vile
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Huyu mama kama kweli na Afa.Alichofanyiwa huyu kijana, huenda kinafanywa kwa watu wengi wakiwemo wale waliokuwa wanatekwa na watu wasiojulikana.
Hivyo, katika kulinda heshima zao katika jamii, wahanga hawa huchagua kukaa kimya kuliko kuesma hadharani vitendo walivyofanyiwa.
Ni imani yangu, hata waliomuingia chupa makalioni kijana huyu katika tuhuma zinazomkabili Pauline Gekul, waliamini nae angekaa kimya. Hata hivyo, kwa huyu kijana imekuwa tofauti kabisa otherwise wasingethubutu kufanya walichokifanya.
Ni wazi huu ushenzi unafanywa kwa watu wengi tu na ndio maana wakamfanyia na huyo kijana.
Unajiuliza kwanini wawaze kufanya hivyo kama hio sio ndio tabia yao?
Endapo haki itatendeka na tuhuma kuthibtishwa, kijana huyu ajiandae kulipwa fidia kubwa(adai fidia kubwa) na iwe somo kwa wengine
Mungu ana makusudi na kila jambo.