DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
 
Watendaji wote wa CCM without exception ni changamoto
 
Nimesikitishwa na unyama uliotendewa huyo kijana. Ninashauri wafuatao nao wawajibike. (1) RPC wa Manyara (2) OCD wa Wilaya ya Babati (3) OCS wa Kituo cha Polisi cha Babati na Maaskari wote waliohusika kumtesa huyo kijana. Inakuwaje kijana anakaa Polisi muda wa siku nne akiteswa siku nne mfululizo bila dhamana. Hao wanatakiwa wafukuzwe kazi mara moja.
 
Maokoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukatili wa kuingizwa chupa watuhumiwa njia kuu Nani ameasisi? Hili halikubali.

**Polisi Babati kama kuna aliyehusika asimamishwe kupisha uchunguzi
 
 
Nina maswali
1.Hiko chakuka chenye sumu kilichukukiwa sampuli?
2.Je Gekul ana historia ya uhalifu na unyanyasaji.
 
Kazi ya shetani ni kuchinja kuua na kuahribu ukiendekeza ushirikina ipo siku utakurudi
 
Alichofanyiwa huyu kijana, huenda kinafanywa kwa watu wengi wakiwemo wale waliokuwa wanatekwa na watu wasiojulikana.

Na katika kulinda heshima zao katika jamii, wahanga hawa huchagua kukaa kimya kuliko kuesma hadharani vitendo walivyofanyiwa.

Kwa mtazomo huo, ni imani yangu hata waliomuingizia chupa makalioni kijana huyu katika tuhuma zinazomkabili Pauline Gekul, waliamini nae angekaa kimya. Hata hivyo, kwa huyu kijana ihali mekuwa tofauti kabisa otherwise wasingethubutu kufanya walichokifanya.

Ni wazi huu ushenzi unafanywa kwa watu wengi tu na ndio maana wakamfanyia na huyo kijana.

Unajiuliza kwanini wawaze kufanya hivyo kama hio sio ndio tabia yao?

Endapo haki itatendeka na tuhuma kuthibtishwa, kijana huyu ajiandae kulipwa fidia kubwa(adai fidia kubwa) na iwe somo kwa wengine

Mungu ana makusudi na kila jambo.
 
Huyu mama kama kweli na Afa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…