DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mihemko ingekuchochea uwe na ghadhabu ya kuonyesha na picha mtekwaji pia, kisha halafu utulivu na umahiri ungekuelekeza ufafanue ni nini hasa kimetokea?

Ni vita ya Israel na Hamas
imehamia bongo ama nini imefanyika
Yaani mtoto aliyeingiziwa chupa uweke picha yake?

Huyo Waziri hafahamiki picha yake?
 
Yaani mtoto aliyeingiziwa chupa uweke picha yake?

Huyo Waziri hafahamiki picha yake?
eleza vizuri kwa utulivu, alie dhulumiwa apete haki stahiki, na alie dhulumu apate adhabu stahiki pia..

muhimu haki itendeke kwa wahusika.

eehe ilikuaje?
 
Kwa umasikini na udhalili kesi itamrudia dogo na atalazimishwa akubali kosa kwa kipigo
Yaani cheo kinafanya mtu awe juu ya sheria
Mungu amsaidie
 
Huyo waziri Bado hajawajibika tuu mpaka muda huu natambua maana Bora ya uwajibikaji sababu tuhuma nzito zimekuja kwake hapa haijalishi kuwa umefanya au hukufanya ila Ili kuheshimu utawala Bora anapaswa kuachia ngazi Ili kupisha uchunguzi.

Aviache vyombo vingine viwe huru kumchunguza
 
Hili jambo lichunguzwe kiundani maana ni fedheha kwa kijana na jamii yetu kwa kitendo hichi kuna mawili mbunge achunguzwe na afunguliwe mashtaka au aachie ngazi kwa hiari
 
Nakumbuka Naibu Waziri flani alikimbia fumanizi, ila Serikali ya CCM ikaamua kutengeneza tukio. Hata hili la huyu mbunge litapita pia.
 
Back
Top Bottom