Naibu Waziri na Waziri Makamba wajiuzulu. Ni kwa kulidanganya Bunge kuwa mgao utaisha Desemba 2022

Unaona raha mnavyouza Generators kwa wingi Wananchi wanateseka

Mnamtengenezea Mama Uadui na wanachi na hizo sabotage zenu
Toa suluhu ya muda mfupi na mrefu uisaidie nchi yako.Kumuandama mtu bila wazo mbadala ni u-hovyohovyo tu.
 
Wewe mpina ulipobaki yatima kama jina lako ulishachanganyikiwa kabisa!

Chuki zako kwa serikali ya Samia zitakuua!
 
Mjibu kwa ufafanuzi na mifano inayoambatana na ukweli.Kuandika matusi ni sifa ya kushindwa kujihimili kuanzia mwili,akili hadi mambo ya kiroho.Na onesha kwamba weye ni mtu mzima na wala haujaomba simu kwa dada yako ambaye leo hajaenda kibaruani kupangisha wateja guest house.
 
Wewe ni mavi kaa kimya
 
December haijaisha mzee kaa kwa kutulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…