Naibu Waziri Nditiye aagiza TCRA kukagua mabasi yote yanayosafirisha vifurushi bila kuwa na leseni

Kama watu wanapenda mabasi kwa nini Posta na wao wasiyatumie?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna alichozuia...na wala serikali haijazuia biashara ya vipeto inafanywa kwa utaratibu na kwa kupatiwa leseni...sio kienyeji, duniani kote biashara ya kusafirisha vipeto iko regulated na hapa Tanzania TCRA ndie anaehusika....kama Mmiliki wa basi anataka kusafirisha vipeto vyakutumwa awe na leseni ya TCRA kama ilivyo kwa posta na courier companies....huwezi kujinufaisha kwa biashara usiyolipia...that's why yupo LATRA EWURA nk..."utaratibu ni hekima"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Bahasha yangu niitume posta ichukue 5 days kufika wakati Kimbinyiko wanaifikisha within 10 hours? Posta waachwe wapambane na sisi raia tuachwe tuchague kilicho bora kwetu
 
Hakuna sekta inayoajiri mabongolala, wadumavu wa akili, mapunguani, sukuma liende, nk kama sekta ya umma! Mimi pia ni miongoni mwao, Ameen!
 
Hii habari ya serikali kulazimisha biashara, kufunga biashara na kuchagua mshindi, ni moja kati ya sababu zinazotufanya tuwe masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari ya serikali kulazimisha biashara, kufunga biashara na kuchagua mshindi, ni moja kati ya sababu zinazotufanya tuwe masikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa naona kama wamekuja kuharibia mipango ya watu.....
Wao posta Miaka nenda rudi wameshindwa kutoa huduma hii ya kuweza kumfikishia mtu mzigo wake hapo alipo kitu ambacho Wenye mabasi wameweza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa naona kama wamekuja kuharibia mipango ya watu.....
Wao posta Miaka nenda rudi wameshindwa kutoa huduma hii ya kuweza kumfikishia mtu mzigo wake hapo alipo kitu ambacho Wenye mabasi wameweza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali inaua ubunifu na mashindano ya kibiashara.

Halafu tunashangaa kwa nini hatuendelei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jema litakalofanywa na viongozi likaonekana na tija.

By the way tuliachwa holela sana, now tunatakiwa kufuata njia tunasema NO!, but mwenye haki na usafirishaji vifurushi nchini ni posta na kampuni zilizosajiliwa.
Sidhani kama unatafakari sawasawa,hawa posta wamejipangaje?Yani mtu yuko mrimba huko ambako posta hakuna,mtu akitaka kutuma kibahasha chake apande basi aje ifakara kuifuata posta?
Hiii nchi tunaviongozi wa ajabu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…