Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dogo amalizi mwezi atapoa kama kina isis , almuni sijui alminium alikua anafungua mathread saa nane usiku mfululizo hadi asubuhi mnaamka mnamkuta anaandika na kujijibu mwenyewe 🤣Kijana kavurugwa sana humu anafikiri kila mtu ni kada wa ccm hahaa
Nadhani tungeruhusu wataalamu wa afya,Huu ni upingaji wa kipumbavu sasa ,lengo la barakoa ni kukukinga usirushe matone ya mate au chafya kwa mtu wa jirani yako unapoongea, pia itakinga mikono yako kukugusa midomo na pua.
Makonda yupo sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wake navyomjua hafurahushwi na sarakasi za mumeweMatamko ya makonda ni kiburudisho cha Mke Wake kujisikia kuwa mme wake katoa tamko, sisi huku hata hatutaki kusikia huo ugoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite kwanini anaachwa apoteze raia na elimu yake ya fafafafafafafafa div zero? Yaani anatamka kabisa watu wafunge vitambaa vya jasho kufunika pua na mdomo kujikinga na corona?? Jackma kagawa barakoa bure,matajiri wamechangia bil 6 kwanini wasinunue "santaiza na max" na kuwapa wananchi bure?Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya .
Watanzania hatuzidi milioni 60 kwanini basi serikali isitoe tu Milioni 60 ili kila mtanzania apewe milioni 1 imsaidie katika kipindi hiki cha Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo la kidwanziWewe ndio umetoa wazo zuri sana.
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Mkuu ebu iandike kwa maneno inafika bilioni ngapi?60,000,000×1,000,000= 60,000,000,000,000 hyoo ndo hesabu kila mtanzania akipewa million moja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri nusu shari kuliko shari kamili.Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya .
Bavicha huyo!Hizi Ni hesabu za wapi???
Milioni 60 ziwatoshe watu million 60 kwa million moja moja🙄