Kufanya kazi na Jiwe ukubali kuwa zezeta , ukijaribu kutumia akili yako lazima uliwe kichwaSema wewe mkuu mtu amesoma HGL wapi na wapi na sayansi!
Muda mwalimu mzuri!Naona kwenye wizara kabaki ummy tu, sasa sijui na yeye siku zake zinahesabika?
Muda mwalimu mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app