TANZIA Naibu Waziri wa Elimu Mstaafu Mzee Nazar Nyoni afariki dunia

Ofisi za Elimu mkoa zamani kwa chini ile road alikuwa anakaa hapo zamani.
Ubinafsi ulianza zamani sana,Ukifuatilia alijimikikisha hilo eneo,na watoto wake akaforce waingine kazini no matter what.Uzalendo umeanza kufa Zamani.
 
Ushimen sorry for the loss of your classmate
 
kabla sijatoa pole alikuwa ccm au chama gani niseme RIP
Inaelekea hujui kuwa kabla ya CCM kulikuwa na TANU na ASP ? Apumzike kwa amani Mzee Nyoni. Kila nikikumbuka viongozi wa awamu ya kwanza huwa naguswa sana na uzalendo na uadilifu wao na walivyokuwa wakiitwa NDUGU.
kabla sijatoa pole alikuwa ccm au chama gani niseme RIP
 
Inaelekea hujui kuwa kabla ya CCM kulikuwa na TANU na ASP ? Apumzike kwa amani Mzee Nyoni. Kila nikikumbuka viongozi wa awamu ya kwanza huwa naguswa sana na uzalendo na uadilifu wao na walivyokuwa wakiitwa NDUGU.
Kwa amani gani kaacha walimu na shule bado zipo vibaya yeye watoto wake wamesoma shule nzuri
 
Mkuu Ushimen , marehemu ni 95 ni classmate wako kweli au umekosea?, how old are you?.
P
Nilikua nakuona wakati unakua kwenye kotaz za polisi.

Nilikushudia ukiwa kijana miaka ya 90'z hadi unapata ajali na honda yako by da way.....
Ulikua kijana sana miaka ileee... na ulikua unajipena pia ulikua jasiri zaidi ya leo.
R.i.P ISP Mayala
 
Mayala ulikuwa nyuma yangu hapo Oysterbay, ukikaa maflat mimi nikiishi miikoroshoni ya mwanzon kariba na maflati, ingawa sikukufahamu wakati nasoma hapo Obay ill classmate zako akina Mwinyi niliwafahamu labda kwa sababu ya majina ya baba zao wakati huo
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…