Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu

Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu


Mradi wa umeme wa Julius Nyerere ni moja ya mradi unaotekelezeka kwa weledi mkubwa sana, sote tunajua mwezi wa sita mwaka huu ndiyo tulitegemea kuwasha mtambio namba 9 kwa mara ya kwanza lakini kwa jitihada za serikali na wakandarasi tuliweza kusogeza ratiba za kuwasha mtambo huu hadi mwezi wa pili, jana tumefanikiwa kufanya majaribio kwa ukamilifu kwenye mtambo namba 9 na tumeutembeza kwenye uwezo wake wa mwisho wa megawati 235," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

"Tuliahidi mwezi huu tuna ratiba ya kuzindua mtambo huu na ratiba hii iko palepale, tunawashukuru sana Watanzania kwa kuendelea kutuvumilia, matumizi ya umeme yanategemeana tukizalisha mwezi huu mgao utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kwa sababu tunazalisha megawati 235 na mwezi wa tatu tutazalisha megawati 235 hivyo zitakuwa megawati 470 uhakika ni kwamba kufikia mwezi wa tatu mgao wa umeme utaisha nchini," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

Pia soma
- Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?
Wanatufanya mazombi. Mabepari uchwara wanaotegemea kunawiri kwenye giza la kutokuepo umeme hawajali kero au hasara kiasi gani taifa linapata. Kila siku ya umeme kukosekana wao wanachuma hela na tabia yao kutengeneza giza la umeme. Walaaniwe😭😭
 

Mradi wa umeme wa Julius Nyerere ni moja ya mradi unaotekelezeka kwa weledi mkubwa sana, sote tunajua mwezi wa sita mwaka huu ndiyo tulitegemea kuwasha mtambio namba 9 kwa mara ya kwanza lakini kwa jitihada za serikali na wakandarasi tuliweza kusogeza ratiba za kuwasha mtambo huu hadi mwezi wa pili, jana tumefanikiwa kufanya majaribio kwa ukamilifu kwenye mtambo namba 9 na tumeutembeza kwenye uwezo wake wa mwisho wa megawati 235," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

"Tuliahidi mwezi huu tuna ratiba ya kuzindua mtambo huu na ratiba hii iko palepale, tunawashukuru sana Watanzania kwa kuendelea kutuvumilia, matumizi ya umeme yanategemeana tukizalisha mwezi huu mgao utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kwa sababu tunazalisha megawati 235 na mwezi wa tatu tutazalisha megawati 235 hivyo zitakuwa megawati 470 uhakika ni kwamba kufikia mwezi wa tatu mgao wa umeme utaisha nchini," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

Pia soma
- Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?
USANII MTUPU!HII MIJITU HATA AIBU HAIONI!
 

Mradi wa umeme wa Julius Nyerere ni moja ya mradi unaotekelezeka kwa weledi mkubwa sana, sote tunajua mwezi wa sita mwaka huu ndiyo tulitegemea kuwasha mtambio namba 9 kwa mara ya kwanza lakini kwa jitihada za serikali na wakandarasi tuliweza kusogeza ratiba za kuwasha mtambo huu hadi mwezi wa pili, jana tumefanikiwa kufanya majaribio kwa ukamilifu kwenye mtambo namba 9 na tumeutembeza kwenye uwezo wake wa mwisho wa megawati 235," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

"Tuliahidi mwezi huu tuna ratiba ya kuzindua mtambo huu na ratiba hii iko palepale, tunawashukuru sana Watanzania kwa kuendelea kutuvumilia, matumizi ya umeme yanategemeana tukizalisha mwezi huu mgao utakuwa umepungua kwa kiasi kikubwa kwa sababu tunazalisha megawati 235 na mwezi wa tatu tutazalisha megawati 235 hivyo zitakuwa megawati 470 uhakika ni kwamba kufikia mwezi wa tatu mgao wa umeme utaisha nchini," - Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati

Pia soma
- Februari 16 Serikali ilisema umeme mwisho kukatika. Ulipo umeme upo?
Wajinga tu na wahujumu hawa. Hata kupanga tarehe ya kitu hawawezi.
 
Kuna shida kubwa naiona kwa Rais Samia kuliko kwa watendaji wake!
 
Kilichopo sasa sio mgawo wa umeme bali makatizo ya umeme, umeme unakatika ukirudi mnatumia saa moja,unakatika tena,huu mgawo gani? Harafu hiyo march ni ya mwaka gani?
 
Huu ni utapeli, serikali imekuwa na maneno ya kitapeli. Kama wao wameamua kuwa matapeli, raia watakuwaje?
 
Ila pesa za kununua ndege ya viongozi zipo
Shenzi sana
 
Speaker asimame upande wa wananchi na sio kuegemea upande wa serikali ,inatakiwa bunge liichachafie serikali ipazavyo ili kuleta accountability, kulikuwa hakuna haja ya kuwapa grace period wakati serikali yenyewe ilishatoa ahadi kwamba ifikapo mwezi wa pili na watatu mgao utaisha. Kuruhusu mazingira kama haya ni kunatengeneza complacency kwa wale waliopewa zamana yakuongoza wizara .
 

Attachments

  • IMG-20240215-WA0011.jpg
    IMG-20240215-WA0011.jpg
    79 KB · Views: 2
Back
Top Bottom