Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Well said Ng'wana wa Ntemi Master of the game, Deogratius Kisandu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milele hawezi kumtaja Queen DarlingNasubiria nione kama wasanii flani watatajwa other wise Kuna uonevu na double standard
Nadhani unaweza kuwa mwanamke pia.Kwa kumuweka yule Dada alie na kuwa na macho mekundu huku yeye akiongea bila hata uuruma kwa mwanamke mwenzake.. hiyo hapana aiseeeee
Yaani kaongea kama vile huyo mdada sijui sio binadamu.. kamsimamisha pembeni huku analia macho mekunduuuuu yeye anaongea kama hajali..
Na kuna wengi wanaume wana video zinawanawake balaaa... hawawasimamishii kazi.
Amechemka kweli kweli..
Pole kwa huyo Dada ..ila picha ya utupu ndio hizo amevaa nguo fupi.. maana bado sijaelewa utupu upi?
Watoto huko mitaani hawana mengi yaliyochini ya wizara yake yeye kaona haya ndio kiki au ndio wasanii tu serikali yetu inawaona hapa nchini
Mbona mengi hawayaendelezi kwa manufaa ya watoto wanafunzi na vizazi vijavyo..
Instagram yenyewe yaani kabisaaaaa
Huko youtube nako wakajioneeee
Huko Instagram mtu anaenda kuangalia picha akitaka.. na picha tupu haziruhusiwi kuwa puboic.. sasa angetuleleza hiyo picha ya utupu ni ipi je hakuwa na nguo yoyote hata sidiria mwilini yaani alikuwa alivyozaliwa?
Wale wanafundisha watu kunanihiii huko huko instagram mbona hajawaita kuwafungia kazi? Maana nao wanacheza kila mwili uwezavyo kucheza wakionyeshea..
Angetoa onyo maana ameacha wengi.. wanaume nao amewaacha mbona...
Nadhani unaweza kuwa mwanamke pia.
natamani ujumbe huu ukufikie..
zaidi ya uelekeo wa utupu wako una kitu ama sehemu gani nyingine inayoweza kuwa na staha au heshima kwenye mwili wako kama mwanamke?!!
weka siasa na chuki binafsi pembeni kisha pitia picha zote za huyo Giggy money na rafikize bila kumsahau Faizal Ally. Wanazotuma kwenye mitandao ya kijamii.
halafu jiulize je mwanao anajifunza nini? Utajisikiaje kumuonesha baba yako mzazi picha kama hizo?
Sanaa na usanii sio kukaa uchi.
Hongera sabbu uko macho mpaka mida hii.Umeona nimemuongelea Giggy!!!
Na pia nani kasema nimeandika ya siasa.. embu kaa chini jipime kudandia dandia utulize kichwa chako..
Hongera sabbu uko macho mpaka mida hii.
ulipotoa hoja yako hapa inasomwa na wengi na bila shaka watakaochangia mawazo yako ni wengi..kwa mitazamo tofauti..
soma tena post yako ulichoandika hasa aya ya pili, kisha kama una uwezo tafakari kisha rudia tena.
utagundua uandishi wako una namna fulani ya hisia zaidi kuliko hoja.
"Sabbu ni mwanamke mwenzie so hakupaswa kuchukuliwa hatua"!?
Hujui uchi ni nini kwa tamaduni na mazingira yetu hapa Tanzania..[emoji23] [emoji18]
Kama Huyo cocochanel anaona kama hao Wakina giggy na sanchoka wameonewa,na kutuonesha misambwanda Yao huku wakiwa na bkini,kwake ye anaona sawa basi na yee atupie picha aanike maungo yke watu waoneeNadhani unaweza kuwa mwanamke pia.
natamani ujumbe huu ukufikie..
zaidi ya uelekeo wa utupu wako una kitu ama sehemu gani nyingine inayoweza kuwa na staha au heshima kwenye mwili wako kama mwanamke?!!
weka siasa na chuki binafsi pembeni kisha pitia picha zote za huyo Giggy money na rafikize bila kumsahau Faizal Ally. Wanazotuma kwenye mitandao ya kijamii.
halafu jiulize je mwanao anajifunza nini? Utajisikiaje kumuonesha baba yako mzazi picha kama hizo?
Sanaa na usanii sio kukaa uchi.
Afadhala wamewafungia huku mtaani chaputa walikuwa kila siku wanachama wapya sababu ya picha zao hawa