TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
Taarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.

Marehemu alikuwa Mbunge wa Ngorongoro na amekuwa Naibu Waziri mara 4 katika Wizara tofauti.

Amefariki majira ya saa 4 kasorobo usiku huu.

D7ACE029-36BB-4AB9-961A-5E5AF91E1E8D.jpeg
 
Back
Top Bottom