Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Hii dunia siyo yetu kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzushi wa kumzushia mbowe sawa sio? A spear is for the pig....Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!
Pamoja na uhasimu wa siasa zetu hivi kweli hatuna soni kwa nafsi zetu pale tufanyapo uzushi uliopitiliza?!!!
YetzerHaTov
Aiseee,funguka hapo kuhusu Wazazi. Inaonysha unamfahamu vizuri huyu Marehemu nje ndani.Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.
Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.
Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.
Mzungu wake sijui atabaki na nani
Vile vifo vimeanza tenaTaarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.
View attachment 1955155
Taarifa kwa kina zinafuata
Mzee usielala nakuona kikore.Vile vifo vimeanza tena
Taifa lina wajinga hili! Ukiwakuta jf (home of great thinkers) inakera zaidi kwakweli.Tukichanja tunakufa hatufi?
Hilo swali ni sawa na kuuliza tukitumia dawa tunakufa hatufi. kufa kwa binadamu ni lazima lakini hii haina maana tusichukuwe tahadhari kuzuia magonjwa au tusitumie dawa tukiuguwa.Tukichanja tunakufa hatufi?
Si atakuwa kashtukizwa na ugonjwa na kifo kwa pamoja ghaflaWaziri kufia nyumbani hii nayo ni kali.
Umeshaangalia picha ya ukumbini pale ni nani alikuwa anasikiliza? kama hujaiona nibipu nikuletee.Mabeberu hayakuwa na interest hata ya kusikiliza upuuzi.
Hahaha[emoji23] umejuajeee?Mzee usielala nakuona kikore.
Inasikitisha sana mkuuu, saana. Kuna wakati unaiona komenti unabaki umeshikwa na bumbuazi tu maana hukuwa unategemea kuona kitu km hicho kwakweli sehemu kama hii. Unaishia kumuachia Mungu mkuu.....Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!
Pamoja na uhasimu wa siasa zetu hivi kweli hatuna soni kwa nafsi zetu pale tufanyapo uzushi uliopitiliza?!!!
YetzerHaTov
Mswali ya mtu aliyekata tamaa hayaTukichanja nyumba kwa nyumba tutakufa?
Haya maswali ya mtu aliyekata tamaaTukichanja tunakufa hatufi?
NgorongoroNi mbunge wa wap huyu
Nakuapia, hata hajaangalia. Na hata kama ameangalia basi walipokuwa wanaoneshwa 'mabeberu' ye alikuwa anaangalia pembeni haraka ili asiwaone na hatimae ajipatie uhalali wa kusema alichosema. Ndo tulipofika hapo mkuu. Ukisikia anayekukimbiza anaanza kuporomosha matusi baxi we ongeza mwendo ujue tayari pumzi zinamuishia huyo.....mama aendelee kufanya yake kwa speed zaidi kwani haters wanakuwa mapunguani tu siku baada ya siku.Umeshaangalia picha ya ukumbini pale ni nani alikuwa anasikiliza? kama hujaiona nibipu nikuletee.
Chagua moja kati ya hilo swali ndilo jibu lake.Tukichanja tunakufa hatufi?
Hakika inasikitisha sana mkuu...Inasikitisha sana mkuuu, saana. Kuna wakati unaiona komenti unabaki umeshikwa na bumbuazi tu maana hukuwa unategemea kuona kitu km hicho kwakweli sehemu kama hii. Unaishia kumuachia Mungu mkuu.....
Sijui yalipita maelezo kuwa chanjo inaondoa mpaka magonjwa mengine aliyonayo mtu?!!
Sijui yalitolewa maelezo kuwa ukichanja haufi milele?!!
Sijui tunamfahamu sana huyu marehemu historia yake ya afya?!!
Sijui tumeshashuhudia kilichomuua?!!
Tumewapoteza kina Warumi humu, sijui nao kawatoa kafara kwa kitowalazimisha kuchanja?!!
Mkuu ni ukweli kuwa tumechanganyikiwa..........chuki tulizonazo zimepitiliza mno mpaka zinatupelekea katika hali hii ya kusikitisha. Nimeona pia komenti hapo juu ya gwiji wetu humu mwenye washabiki wengi, mjuzi wa mambo mengi na muanzishaji wa threads nyingi sana zinazofikirisha; alichoandika kinasikitisha sana. Kilichobaki tuombeane tu mkuu, hali si hali!!
😍Inasikitisha sana mkuuu, saana. Kuna wakati unaiona komenti unabaki umeshikwa na bumbuazi tu maana hukuwa unategemea kuona kitu km hicho kwakweli sehemu kama hii. Unaishia kumuachia Mungu mkuu.....
Sijui yalipita maelezo kuwa chanjo inaondoa mpaka magonjwa mengine aliyonayo mtu?!!
Sijui yalitolewa maelezo kuwa ukichanja haufi milele?!!
Sijui tunamfahamu sana huyu marehemu historia yake ya afya?!!
Sijui tumeshashuhudia kilichomuua?!!
Tumewapoteza kina Warumi humu, sijui nao kawatoa kafara kwa kitowalazimisha kuchanja?!!
Mkuu ni ukweli kuwa tumechanganyikiwa..........chuki tulizonazo zimepitiliza mno mpaka zinatupelekea katika hali hii ya kusikitisha. Nimeona pia komenti hapo juu ya gwiji wetu humu mwenye washabiki wengi, mjuzi wa mambo mengi na muanzishaji wa threads nyingi sana zinazofikirisha; alichoandika kinasikitisha sana. Kilichobaki tuombeane tu mkuu, hali si hali!!