TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

Ha-makom Ye-nachem etchem be-toch She'ar Avelay Ngorongoro vi-Tanzania 🤲🤲

Yetzer Ha-Tov William Ole Nasha🤲
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
wazazi wana Baraka na laana katika ndimi zao.

kuna kitu hapa

Rip Marehemu 😢
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
Aisee
 
Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!

Pamoja na uhasimu wa siasa zetu hivi kweli hatuna soni kwa nafsi zetu pale tufanyapo uzushi uliopitiliza?!!!

YetzerHaTov
Haya tuambie hans poppe alikufa kwa kitu gani ? Njoo na hapa airport dar utuambie kuna jamaa tumemzika kama mwezi hivi alikufa kwa kitu gani au nenda airport kaulize wafanyakazi stimu ya chanjo imekata baada ya huyo jamaa kuganja,tatizo serikali aisemi ukweli hivyo imepoteza imani kwa wananchi ,zimeni camera watu hii habari isisikike popote
 
Kufikia 2022 ntakuwa nimechanja 70% ya wananchi wangu. thawa UN?
Mama anawatoa watu kafara kwa kuwaadaa wapate chanjo
Mawazo ya kimaskini kitoka kwa mashiki wa akili, magufuli aliwaharibu sana nyie wajinga, wakati huo mnazitaka ARV kwa nguvu sana na mkizikosa mnalia lia sasa kwani hizo zinatengenezwa kwa mtogole?
 
Inasikitisha sana mkuuu, saana. Kuna wakati unaiona komenti unabaki umeshikwa na bumbuazi tu maana hukuwa unategemea kuona kitu km hicho kwakweli sehemu kama hii. Unaishia kumuachia Mungu mkuu.....

Sijui yalipita maelezo kuwa chanjo inaondoa mpaka magonjwa mengine aliyonayo mtu?!!

Sijui yalitolewa maelezo kuwa ukichanja haufi milele?!!

Sijui tunamfahamu sana huyu marehemu historia yake ya afya?!!

Sijui tumeshashuhudia kilichomuua?!!

Tumewapoteza kina Warumi humu, sijui nao kawatoa kafara kwa kitowalazimisha kuchanja?!!


Mkuu ni ukweli kuwa tumechanganyikiwa..........chuki tulizonazo zimepitiliza mno mpaka zinatupelekea katika hali hii ya kusikitisha. Nimeona pia komenti hapo juu ya gwiji wetu humu mwenye washabiki wengi, mjuzi wa mambo mengi na muanzishaji wa threads nyingi sana zinazofikirisha; alichoandika kinasikitisha sana. Kilichobaki tuombeane tu mkuu, hali si hali!!
acha kujiliza bwana mdogo. nyie mafisiem ni washenzi sana basi tu
 
Mawazo ya kimaskini kitoka kwa mashiki wa akili, magufuli aliwaharibu sana nyie wajinga, wakati huo mnazitaka ARV kwa nguvu sana na mkizikosa mnalia lia sasa kwani hizo zinatengenezwa kwa mtogole?
Kadungwe chanjo saba saba wewe zipo teleee zinakusubiri
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani

Viongozi wengi wana Ngwengwe sana,wanapata fedha nyingi za bure bure hivyo wanakuwa na michepuko ya kutosha na kuwaingiza kwenye Gridi ya Taifa.
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
Taarifa....
 
Back
Top Bottom