TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

TANZIA Naibu Waziri, William Ole Nasha afariki dunia

Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
Hebu funguka zaidi mkuu
 
Wewe unamjua vilivyo kwa ulivyoweka haya maneno,si bure.
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
 
Ni nini tena viongozi kuondoka kwa wingi ?

28 September 2021
TANZIA: Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji Mhe. William Tate Ole Nasha afariki dunia


Source : SimuliziNaSauti


Rest in Peace Dr. William Ole Nasha (MP)

Constituent : Ngorongoro
Political Party : CCM
Date of Birth : 1972-05-27
Education History :
School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Pretoria UniversityLL.M20002001Masters Degree
University of Dar-es-SalaamLL.B19961999Bachelor Degree
Arusha Catholic Seminary High SchoolACSEE19901992Secondary School
Arusha Catholic Seminary Secondary SchoolCSEE19861989Secondary School
Kakessio Primary SchoolCPEE19781984Primary School

Source : Parliament of Tanzania

 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
Anaonekana. Nimemuangalia tu nikajua huyu alikuwa na Tanesco.
 
Ukiwa mgonjwa basi kuwa makini sana na Covod 19. Chukua tahadhari zote muhimu.

Jamaa alikuwa na Ngwengwe. Afya yake ni dhoofu, naona wimbi la tatu limeamua tu kummalizia.

Poleni sana. Lakini pia, msisahau kutunza wazazi wenu. Wana baraka na laana ndani ya ndimi zao.

Mzungu wake sijui atabaki na nani
Mkuu Poleni sana huko Ololosokwani Pinyinyi Piyaya na huko Emboreti na PINGO
 
Mtu hatuko naye lakini watu wanaonesha hate.. Deep hate!? Damnn!!!
 
Back
Top Bottom