Hadi anafia home kuna shida mahaliTaarifa za hivi punde ni kuwa Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha amefariki dunia nyumbani kwake Jijini Dodoma.
View attachment 1955155
Taarifa kwa kina zinafuata
NgorongoroNi mbunge wa wap huyu
Mabeberu hayakuwa na interest hata ya kusikiliza upuuzi.Kufikia 2022 ntakuwa nimechanja 70% ya wananchi wangu. thawa UN?
We ulitaka afie wapi? Taarifa haisemi kama alikuwa anaumwa!
Mkuu unaonekana msomi mbona hivi tena ?!!Mama anawatoa watu kafara kwa kuwaadaa wapate chanjo