Naichukia sana CCM, naombeni msaada wa kisaikolojia

Washauri wenzako huko chamani watende haki. Basi.
 
CCM ni chukizo mbele za MUNGU
 
Nipitie hapa Kahama tukajinyonge.Yaani mimi niwakuambiwa nikaishi Burundi kweli?
 
Tatiza wengi wasukuma wanashindwa kukubali Mwendazake amekufa! Na bado wanaishi kwenye fikra zake. Wamehamisha chuki zao kwa Madame Rais. Mwanza wengi wanakufa kwa Corona, hawataki kuamini kuwa ipo.
 
Tatiza wengi wasukuma wanashindwa kukubali Mwendazake amekufa! Na bado wanaishi kwenye fikra zake. Wamehamisha chuki zao kwa Madame Rais. Mwanza wengi wanakufa kwa Corona, hawataki kuamini kuwa ipo.
You got it all wrong. Soma posts zangu tokea kuumbwa kwa mbingu na ardhi utanielewa.
 
Nadhani hunikuti mimi! Imagine mpaka leo hii nimeishia tu kufanya kazi ya kipuuzi, huku nikiwa na akili nyingi tu kichwani!!

Kisa nilishindwa kabisa hata kujilazimisha tu kuwa mnafiki, ili nipate kazi nzuri kwa mgongo wa ccm! Yaani ndani ya ccm, nilimkubali Nyerere tu, hasa kwa ule uzalendo wake!

The rest, ni majanga tu.
 
Kumbe kufanya siasa mpaka uwe hauna watoto? Kumbe wale wote wanaofanya saisa hawana watoto?

Wewe ni mpumbavu
 
Kumbe kufanya siasa mpaka uwe hauna watoto? Kumbe wale wote wanaofanya saisa hawana watoto?

Wewe ni mpumbavu

kama huna watoto acha kula viepe umri ushaenda mbuzi wewe! huo ushauri haukuhusu kwa sababu haujauomba we endelea na siasa zako huenda ukaanza kulipwa kwa kuongea siasa, kaza nyoro utafika!
 
Rahisi sana chukua sumu ya panya koroga kwenye maji then unywe
 

Nimesoma andiko lako loooote lakini hunizidi Mimi kwa kukichukia hiki chama.
 
Yaani wewe hauna pointi kabisa
 
Sepa zako Burundi huko kwa Ndaishimiye huko akuna CCM kuna CNDD-FDD.
 
Siyo wewe tu; nami pia "and a substantial percentage of Tanzanians".
 
Acha ujinga wa kujiamnisha furaha yako inatunzwa na maccm...furaha yako unayo mwenyewe....wapuuze ccm halafu uone kama haujawa na furaha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…