Naichukia sana CCM, naombeni msaada wa kisaikolojia


So mkuu ukiona bendera ya CHadema unapata na genye na hamu ya kula au. Mana Sijawahi Ona wala sikia. Siasa kabisa iniumize moyo na kuondoa Appetit yangu. Hasa Tz. Ambapo Amani ya msingi ipo.
 

Tukikupima kwa mada yako wewe ndo mpumbavu sana. Chama cha Siasa kinakutengeneza wewe. Unakariri au. Nyie ndo mlienda vyuoni mkasomea mitihani. Chuo sio shule ya msingi. Lazima ujiongeze na kujua unataka Nini. Wewe unaonekana hujui utakalo. Ushauri Wangu. Nenda kwa Mbowe. Kila atakachokuambia fanya. Usitumie kabisa akili yako. Sorry Kumbe huna.
 
Yaani wewe ndio mpumbavu wa kuonewa hadi huruma. Yaani hujui role ya chama tawala katika maisha ya raia? Please ficha ujinga wako.
 
So mkuu ukiona bendera ya CHadema unapata na genye na hamu ya kula au. Mana Sijawahi Ona wala sikia. Siasa kabisa iniumize moyo na kuondoa Appetit yangu. Hasa Tz. Ambapo Amani ya msingi ipo.
Hapa kuna amani ya uwoga tu? Nyie ndio maccm menyewe mnaotia kichefuchefu.
 
Asipokuelewa kwa bandiko Hili mujarabu na thabiti Hana msaada tena
 
Asipokuelewa kwa bandiko Hili mujarabu na thabiti Hana msaada tena

hawa madogo tatizo bangi zinawaendesha, na huyu asiposaidiwa mapema sku sio nyingi atajitolea kufa kwa ajili yao! yaaani ni swala la mda tu na hizo bangi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…