Ili CHADEMA iendelee kuwepo wamuchague Mwambe!!? Uache masihara.
Pamoja na mapungufu ya Mbowe, bado ni mtu sahihi wa kuingoza Chadema kwa sasa.
Kwa style Serikali ya Jiwe inavyonyanyasa wapinzani, sifa kuu ya Mwenyekiti wa chama ni lazima awe na uwezo wa mkubwa wa kiuchumi, kumkabidhi mtu dhaifu kiuchumi jahazi litazama, ndicho unachoshauri!
Pia uenyekiti unaweza kumpa Tundu Lissu, kwa sababu ya ufahamu wake mkubwa na kujiamini kwake kunakopita viwango vya watu wengi.
Vinginevyo wewe Paskali utakuwa ni malaika kuzimu. Tunakukataa, ushindwe na ulegee!