NAILETA KWENU CV YANGU

NAILETA KWENU CV YANGU

longuo A

Senior Member
Joined
Jan 14, 2025
Posts
181
Reaction score
152
Nawasalimu sana wote wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana, waheshimiwa kwa wasio waheshimiwa, ni matumaini yangu mpo salama na kama hali ni kinyume chake Mungu awape nguvu muwe salama.

Naanza kwa kusema kuwa ni huzuzni kubwa sana kwa CV kama hii kukaa haina mchongo wa kueleweka katika ulimwengu huu wa sayansi na teknologia. Mimi ni kijana jinsia ME, mwenye umri unaokaribia 3 floor, ninaishi Moshi Kilimanjaro.

Ni Expert kwenye maeneo ya


  • Research and academic writings consultation (proposals, reports, Data collection and analysis etc.)
  • Digital media (Social media management)
  • Graphics designing (Posters, fliers)
  • Video production
Toka nimemaliza masomo yangu ngazi ya shahada ya kwanza ya mawasiliano kwa umma kutoka moja ya vyuo vikuu hapa nchini nimeshafanya kazi za kuajiriwa na kujiajiri, na nimefanya kazi na watu wengi sana wa kariba, rika, sifa na wadhifa tofauti ndani na nje ya nchi hasa katika masuala mazima ya vyombo vya habari baadae nikajiongeza katika skills nikawa nafanya kazi za research na kazi zingine. Nimejiajiri kwa muda sasa ila kama mnavyofahamu kuwa soko mtaani ni gumu sana (waliojiajiri katika masuala ya research consultations au Graphic designing wataungana na mimi katika hili).

Katika baadhi ya sehemu ambazo nimewahi kujitolea au kufanya kazi kama muajiriwa, nilikuta kuna changamoto ya kukosa kurasa za mitandano ya kijamii na utumiaji sahihi vya vifaa vilivyopo kama camera, microphone na computer katika kuendesha kurasa hizo kwa lengo ya kuitangaza zaidi taasisi na hata kuwafikia kwa karibu wateja au wanaopatiwa huduma kupitia taasisi husika, hivyo ujio wangu ulileta matokeo chanya hasa kuhakikisha tunaenda sambamba na mabadiliko ya dunia ya sasa katika sayansi na teknolojia.

Nimeshaandika academic proposal na report sio chini ya 200 kwa kipindi cha miaka mitatu, proposal za kuomba fund sio chini ya 10, kazi za kutengeneza posters na mabango sio chini ya 150 (kupitia Adobe Photoshop CC), kazi za kutengeneza video (video production kupitia Adobe Premier Pro CC sio chini ya 10), yote haya nimekuwa nikiyafanya mweyewe kwa laptop yangu bila kusimamiwa.

Pia nimefanikiwa kufundisha baadhi ya vijana wenzangu namna ya kutumia Adobe premiere Pro CC na Adobe Photoshop CC (wale waliokuwa interested tu), pia nimefanikiwa kufundisha wengine namna ya kuandika research zenye ubora na zinazoweza kuleta mabadiliko hasi kwenye jamii. Kutokana na G.P.A yangu niliyotokanayo chuo kikuu kuwa nzuri, nilienda mbali zaidi na kukaa na baaadhi ya makamu wakuu wa baadhi ya vyuo vikuu hapa nchini niweze kupewa nafasi ya kufundisha wanafunzi namna ya kuadika research zenye kuleta matokeo chanya kwenye jamii, lakini ilishindikana kwa sababu sehemu zote wanataka niwe nimepata masters (mimi nakijua hiki kigezo ila lengo langu lilikuwa nianze kama tutorial assistant halafu badae nijiendeleze masters).

Taasisi zote za kiserikali au za watu binafsi, mashirika mbalimbali hasa NGOs na NPOs na wengine tunaweza tukakaa chini tukajadili tunavyoweza kufanya kazi kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taasisi na Taifa kwa ujumla.


Hivyo nimekuja hapa jukwaani naamini hapa ni sehemu sahihi ya kukutana na potential employers ambao wanaweza kuona CV yangu na kwa namna moja au nyingine tukaweza kufanya kazi pamoja, mimi ni mchapakazi, ninafanya kazi bila kusimamiwa na kwa muda maalumu (niliowahi fanya nao kazi hapa jukwaani watakuwa ni mashahidi)

Kwa kiongozi na mtu yeyote atakaye vutiwa na CV yangu au kutaka iliyokamilika (yenye full address na referees) na akawa tayari tufanye kazi pamoja au hata kuwasiliana na kubadilishana uzoefu wa kazi namba yangu ni 0619654153 na PM ipo wazi. Nimeorodhesha wasifu wangu hapo chini ila majina ya taasisi zote ambazo nimepita nimeziondoa majina. Natanguliza shukrani kubwa sana kwa kila atakeyapata nafasi ya kusoma kutoka juu mpaka chini na niwatakie wote mapambano mema na kazi njema.



EDUCATION BACKGROUND.


Institution
Year
Subject
…….. University of Tanzania.
2017 – 2020​
Bachelor of Arts in Mass Communication
…… secondary school, Iringa-Tanzania
2015 – 2017​
Advanced Certificate Secondary Education Examination(ACSEE)
…….. Secondary School, Kilimanjaro-Tanzania
2011- 2014​
Certificate of Secondary Education Examination(CSEE)




WORKING EXPERIENCE


2020 – Current: (Freelancer)
Working as an Academic Writer and Researcher (Freelancer)
Data analysis through SPSS and Excel
Data collection (Qualitative and Quantitative data)
Report writing
Research Consultation
Handling research proposals and reports (Quantitative and qualitative research
Providing guidance on quantitative and qualitative research
Advising clients on methodology and data collection tools
Coaching clients on the use of tools such as Mendeley Desktop, QuillBot, Turntin and SPSS
Generating of data collection instruments such as questionnaires, interviews and focus group discussions
  • Collect, record, and evaluate the specifications for a project.
  • Preparation of Training needs assessment
Training Materials Development
Managing Social Media content


2022 To 2023: …… Radio Under supervision of Chief Editor
I had the following tasks
  • News Anchoring(Bulletin) six times in a week(6)
  • Responsible in assisting News Desk
  • Training Juniors on how to write and Anchoring News
  • Producing and Operating social media’s contents
Under supervision of Program manager
I had the following tasks
  • Preparing and presenting Morning Programs from Monday to Saturday( 12:00 am to 10:00 am)
  • Supervising and encouraging others
  • Ensuring effective communication between media and audience(organization with the publics)


2020 To 2021: Information, Public Relation & Communication Officer (Volunteering)At …… District Council Under supervision of Information officer, I do the following tasks
  • Shooting, editing & posting events like meeting, tours around District council in the office’s
  • Receive mails, Manage website & Social Media
  • Designing Posters and Fliers
2018: Information and Communication Officer (Field Training )At ……. Municipal Council Under supervision of Information officer, I had the following tasks
  • Shooting, editing & posting events like meeting, tours around municipal council in the office’s website
  • Receive mails, Manage website & Social Media


LANGUAGE


Languages Speaking Reading Writing
EnglishGoodVery GoodVery Good
SwahiliVery GoodVery GoodVery good


COMPUTER KNOWLEDGE
Computer Literacy (Microsoft Office package – Microsoft Word, Publisher, PowerPoint

Adobe Photoshop CC and Adobe premiere Pro CC

Professional data analysis packages - (Excel and SPSS).

Keen user of the Internet and Email packages.



Personal attributes


  • Work under minimum supervision
  • Capability to take initiatives
  • Ability to work on dynamic environment,
  • Accept criticisms and challenges
  • Self-accountability and responsibility to tasks
  • Good participant in community work and activities
 
Alafu mwanangu unajua niko town ,nawaza napata wapi hela ya kwenda kufurahia na huyu mtoto wa keko .

Usiniweke katika tamaa ,tatizo mibuyu haitaki chain ningefanya hivyo Ila utakuta unaambulia kuitikia "WAZI "
Fanya jambo mkuu, PM yangu iko wazi na number yangu hio apo juu
 
Alafu mwanangu unajua niko town ,nawaza napata wapi hela ya kwenda kufurahia na huyu mtoto wa keko .

Usiniweke katika tamaa ,tatizo mibuyu haitaki chain ningefanya hivyo Ila utakuta unaambulia kuitikia "WAZI "
Ahahah huwezi kosa hela wewe boss kabisa mpeleke skweerz pale upanga 40000k watu wawili mnainjoy sana
 
Ahahah huwezi kosa hela wewe boss kabisa mpeleke skweerz pale upanga 40000k watu wawili mnainjoy sana
Shida nataka nikikapeleka sehemu nilale huko huko yaani kiufupi sitaki apajue nyumbani .
Umewasahau watoto wa uswahilini wasijenivamia na mama ake ,umeyasahau ya bwana mmoja wa kuitwa @Patricck
 
Mkuu hongera sana kwa ujasili wa kutangaza Hitaji lako. Halafu hii professional yako kazi nyingi hata kwa akili mnemba zinafanyika.

Umeshawahi ku upload CV yako LinkedIn?

longuo A
 
1.professional summary
2. Personal details &Contact info
3. Work experience and achievement
4.education background
5.skills
Jitahidi kama unaandaa kwa ajili ya international uhakikishe auachi gap ya mwaka hata kama ukuwa na kazi jaza ulichokuwa unafanya maana wazungu wanachojua ni ulikuwa jela na unaweza kukosa kibarua na wanahamini mtu awezi kusarvive bila kufanya kazi hivyo your have to indicate hata kama ulikuwa unauza duka la nyumbani kwenu , onyesha I hope nimeeleweka
 
Back
Top Bottom