NAILETA KWENU CV YANGU

NAILETA KWENU CV YANGU

1.professional summary
2. Personal details &Contact info
3. Work experience and achievement
4.education background
5.skills
Jitahidi kama unaandaa kwa ajili ya international uhakikishe auachi gap ya mwaka hata kama ukuwa na kazi jaza ulichokuwa unafanya maana wazungu wanachojua ni ulikuwa jela na unaweza kukosa kibarua na wanahamini mtu awezi kusarvive bila kufanya kazi hivyo your have to indicate hata kama ulikuwa unauza duka la nyumbani kwenu , onyesha I hope nimeeleweka
Umeeleweka vizuri Sana mkuu, na nimejitahidi kufanya hvyo hapo jui
 
1.professional summary
2. Personal details &Contact info
3. Work experience and achievement
4.education background
5.skills
Jitahidi kama unaandaa kwa ajili ya international uhakikishe auachi gap ya mwaka hata kama ukuwa na kazi jaza ulichokuwa unafanya maana wazungu wanachojua ni ulikuwa jela na unaweza kukosa kibarua na wanahamini mtu awezi kusarvive bila kufanya kazi hivyo your have to indicate hata kama ulikuwa unauza duka la nyumbani kwenu , onyesha I hope nimeeleweka
Sasa braza mfano labda ulikuwa dreva bajaji utaweka kwny CV kweli mkuu
 
Let say ni Profesional nyingine😅labda advocate company nikaweka na cheti cha dereva as my extra curriculum
It depends, that's why in some of the jobs adverts they indicate, some other certificates is an advantage na huwa wanavitaja
 
It depends, that's why in some of the jobs adverts they indicate, some other certificates is an advantage na huwa wanavitaja
Make nakumbuka kuna mdau wangu aliweka cheti cha jkt 🤣kazi ilikua ni uhasibu but now ni mlinzi tu fresh
 
Back
Top Bottom