Naililia Bagamoyo! JK amewaachaje?

Naililia Bagamoyo! JK amewaachaje?

Lambardi

Platinum Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
18,813
Reaction score
21,830
Salaam kwenu heshima mbele!

Naamini lengo JK lilikuwa zuri kuigawa Wilaya ya Bagamoyo na kujenga bandari ili Bagamoyo iwe Port City. Hakuna vijiji wala nini; sasa kilichotokea wilaya imeisha kabisa haina maana hata kuitwa wilaya.

Ina square km 25 tu. Urefu wake na upana means 625 sq km tu. Vyanzo vyote mapato vimeenda Chalinze. Bagamoyo wauze samaki mnada, bus kwenda Dar na chumvi kitame basi hakuna zingine.

Awamu hii pendwa hamuoni ipo haja kama bandari hakuna, basi unganisha iwe Ubungo tujue moja!
 
angeanza mradi wa andari ya bagamoyo Jiwe asingufuta
Huo mradi JPM aliuelezea kinaga ubaga, hajaupiga chini Kwa zengwe ulikuwa ni wa kinyonyaji mno, shart moja wapo la mwekezaji ilikuwa ni kushut down bandari zote za mwambao wa bahari, only bagamoyo port Tu operate, kichekesho ilikuwa percent ya mwekezaji Yale Yale ya kwenye madini.
 
Kuna mpango wa kujenga bandari (siyo mji) ndani ya miaka hii mitano. Hiyo imeainishwa kwenye ilani ya CCM ya 2020-2025. Bora kujenga bandari ndogo kuliko kujenga bandari kubwa isiyotunufaisha.
 
Huo mradi JPM aliuelezea kinaga ubaga , hajaupiga chini Kwa zengwe ulikuwa ni wa kinyonyaji mno , shart moja wapo la mwekezaji ilikuwa ni kushut down bandari zote za mwambao wa bahari , only bagamoyo port Tu operate , kichekesho ilikuwa percent ya mwekezaji Yale Yale ya kwenye madini ....
Kwa hiyo Wachina nao ni kama tu wale wanyonyaji mabeberu wa Magharibi, au sio?
 
Huo mradi JPM aliuelezea kinaga ubaga , hajaupiga chini Kwa zengwe ulikuwa ni wa kinyonyaji mno , shart moja wapo la mwekezaji ilikuwa ni kushut down bandari zote za mwambao wa bahari , only bagamoyo port Tu operate , kichekesho ilikuwa percent ya mwekezaji Yale Yale ya kwenye madini ....
Hayo aliyoyaeleza unayaamini vipi? inamaana watu woote waliofanya fisibility study hawakuyaona isipokuwa yeye peke yake?? kwan si alikuwa Waziri wa Ujenzi alishindwaje kushauri ipasavyo??

huyu anataka kuacha alama zake mwenyewe ndio maana alisema Mradi wa Stiglaj goji uanze kabla mrithi wake hajaja asije akaukataa
 
Bagamoyo ni mji wa kitalii ule,alafu una fukwe za kuweka hotel za kitalii,mji umetulia sana.
Miaka ya nyuma sikukuu zote tulikua tunaenda Bagamoyo kula sikukuu.
 
Wasubiri kwanza tuna mambo yetu tunataka kumaliza kwanza.
 
Huo mradi JPM aliuelezea kinaga ubaga , hajaupiga chini Kwa zengwe ulikuwa ni wa kinyonyaji mno , shart moja wapo la mwekezaji ilikuwa ni kushut down bandari zote za mwambao wa bahari , only bagamoyo port Tu operate , kichekesho ilikuwa percent ya mwekezaji Yale Yale ya kwenye madini.
We umeuona huo mkataba?

Jiwe ni mbinafsi na hii bandari ya Bagamoyo kaipotezea kwa kua hipo Bagamoyo tu.

Ingekua chato ujenzi ungekua unaendelea hivi.

JK anajutia sana kuhusu huu mradi kuuchelewesha.
 
Kaacha Mananasi Kiwangwa!
Hakuna sehemu wanasikitisha kama Bagamoyo! Hongera JPM kwa kukumbuka ulikotokea na watu wako! Binadamu wote tumeumbwa na ubinafsi, Chato kanyaga twende Baba!
 
We umeuona huo mkataba?

Jiwe ni mbinafsi na hii bandari ya Bagamoyo kaipotezea kwa kua hipo Bagamoyo tu.

Ingekua chato ujenzi ungekua unaendelea hivi.

JK anajutia sana kuhusu huu mradi kuuchelewesha.
Wewe umeouona mpaka unabisha?
 
Bagamoyo ni mji wa kitalii ule,alafu una fukwe za kuweka hotel za kitalii,mji umetulia sana.
Miaka ya nyuma sikukuu zote tulikua tunaenda Bagamoyo kula sikukuu.
Sasahv sikukuu twala Chato! mpaka mwakani jiwe anataka iwe kama Dubai.
 
Huo mradi JPM aliuelezea kinaga ubaga, hajaupiga chini Kwa zengwe ulikuwa ni wa kinyonyaji mno, shart moja wapo la mwekezaji ilikuwa ni kushut down bandari zote za mwambao wa bahari, only bagamoyo port Tu operate, kichekesho ilikuwa percent ya mwekezaji Yale Yale ya kwenye madini.
Kiwanja cha ndege kujengwa chato na kuanzisha safari za ndege huko sio unyonyaji?hivi nani aende chato?

Ukimuona huyu mobutu seseko wa tanzania mstue mwambie siku atapomaliza muda wake atakuta watoto wameweka magoli kwenye uwanja wa ndege wanacheza mpira wa makaratasi.

Ukimuona mstue mwambie aache ubinafsi.
 
Hayo aliyoyaeleza unayaamini vipi? inamaana watu woote waliofanya fisibility study hawakuyaona isipokuwa yeye peke yake?? kwan si alikuwa Waziri wa Ujenzi alishindwaje kushauri ipasavyo??

huyu anataka kuacha alama zake mwenyewe ndio maana alisema Mradi wa Stiglaj goji uanze kabla mrithi wake hajaja asije akaukataa
Kwani kwenye madini na gas kikwete kafanya nini Kama sio kiruhusu unyonyaji
 
Tusisahau Butiama hamna kitu. Mara mia Bagamoyo panavutia.
 
Back
Top Bottom