Aliyaongea mbele ya wahandisi wote na mbele ya camera zote , na wahusika wapo wana nafas ya kumkosoa kama ni uongo ...Hayo aliyoyaeleza unayaamini vipi? inamaana watu woote waliofanya fisibility study hawakuyaona isipokuwa yeye peke yake?? kwan si alikuwa Waziri wa Ujenzi alishindwaje kushauri ipasavyo??
huyu anataka kuacha alama zake mwenyewe ndio maana alisema Mradi wa Stiglaj goji uanze kabla mrithi wake hajaja asije akaukataa
Kwa kweli na sisi tuliitikia wito wa kuwekeza Bagamoyo tumelamba mavumbi!Salaam kwenu heshima mbele!
Naamini lengo JK lilikuwa zuri kuigawa Wilaya ya Bagamoyo na kujenga bandari ili Bagamoyo iwe Port City. Hakuna vijiji wala nini; sasa kilichotokea wilaya imeisha kabisa haina maana hata kuitwa wilaya.
Ina square km 25 tu. Urefu wake na upana means 625 sq km tu. Vyanzo vyote mapato vimeenda Chalinze. Bagamoyo wauze samaki mnada, bus kwenda Dar na chumvi kitame basi hakuna zingine.
Awamu hii pendwa hamuoni ipo haja kama bandari hakuna, basi unganisha iwe Ubungo tujue moja!
Kuna waziri anayeweza kumpinga rais katika nchi hii, JPM alikuwa kwenye wizara hiyo ya ujenzi asingeweza kumpinga rais wake japo alijua hiyo deal ni wizi mtupu.Hayo aliyoyaeleza unayaamini vipi? inamaana watu woote waliofanya fisibility study hawakuyaona isipokuwa yeye peke yake?? kwan si alikuwa Waziri wa Ujenzi alishindwaje kushauri ipasavyo??
huyu anataka kuacha alama zake mwenyewe ndio maana alisema Mradi wa Stiglaj goji uanze kabla mrithi wake hajaja asije akaukataa
chuki binafsi haita kuongezea chochote maishani.Kwani huko chato wanaishi wanyama??????(eti ataenda nani ).tafta hoja zenye mashiko na sio kubeza binadamu wengineKiwanja cha ndege kujengwa chato na kuanzisha safari za ndege huko sio unyonyaji?hivi nani aende chato?
Ukimuona huyu mobutu seseko wa tanzania mstue mwambie siku atapomaliza muda wake atakuta watoto wameweka magoli kwenye uwanja wa ndege wanacheza mpira wa makaratasi.
Ukimuona mstue mwambie aache ubinafsi.