Naim Qassem akataa kuongoza Hezbollah na ajiuzulu, Sheikh Ibrahim Amin naye akataa Uteuzi kuongoza Hezbollah

Naim Qassem akataa kuongoza Hezbollah na ajiuzulu, Sheikh Ibrahim Amin naye akataa Uteuzi kuongoza Hezbollah

Pale ukisikia jina lako linapendekezwa kuwa kiongozi wa Hezbollah

1000164471.jpg
 
JF siku hizi kuna utoto mwingi sana karibu kila kona.

Yani ni mpaka kwenye majukwaa ya wasomi kama hili la International Forum watoto wamelivamia.

Mbaya zaidi, vitoto hivyo vinaleta taarifa zisizo na ukweli wowote(Unverified news) na kuanza kuzichambua kishabiki.

Inasikitisha sio siri.
 
Nani asiyetaka kuishi?

Sheikh Ibrahim na Naim Qassem wameona wasifanywe maboya...hata wao wana watoto wanaowategemea

Tena Naim Qassem alisema huku analia machozi kabisa maskini
Si walivunje tu hilo li kikundi wafanye mambo mengine?

Kwani pepo ya kiislamu kuiona ni lazima upigane vita?
 
Back
Top Bottom