Naim Qassem Kaimu Kiongozi Mkuu Hezbollah atoa hutuba nzito, aionya Israel isithubutu kuivamia Lebanon watapambana nao vikali

Nishawahi kilemba chake na kobazi nasema mapemaaa mana umezuka mtindo humu ukiwahi kitu linatokea jitu nalo linadai liliwahi kobazi za Nasrallah niliziwekea oda kabisa nafika kuchukua changu watu kibao safari hii sikubali cha huyu naibu ni changu.
 
Muda anatoa hutuba kajificha wapi awe makini israel wasije wakamlipua
 
Kiongozi mkuu kauawa,aliyeteuliwa kushika nafasi yake pia kauawa ndie kapewa huyo kaimu hivi akili zimo huyo kutoa hilo tamko? Muda wowote Israel wanamla kichwa
Sad wajizuie mpaka wapate uwezo wa kurevenge
 
Tatizo uzito unaishia kwenye taarifa yenyewe vitendo vyepesi wanatunguliwa tu.
 
Hii vita imefike mwisho Sasa, raia wanateseka mno
 
Haya, tayari huko wamethubutu. Ngoja tuone mrejesho wa taarifa nzito. Yetu masikio na wala sio macho
 
Huu mwezi wa 10 hauishi nayeye kawa jivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…