Naingia gharama za uzinzi niliofanya mwezi huu

Naingia gharama za uzinzi niliofanya mwezi huu

Bila shaka kuna mbinu mpya imeingia ya kupiga hela za wanaume pasipo sie kujua

Mke wangu(yupo mbali kidogo na mimi kama km 30 hv,huwa naenda kumuona mara moja moja),huwa kuna mtu huwa anampa taarifa zangu zote kwa ninayoyafanya hasa ya wanawake.
Alishawahi niambia kuwa utakuja kusingiziwa mimba nyingi tu zingine hata zisizo kuwa zako

Na kweli bhana toka aniambie hata hazijapita miezi mingi nikajikuta naambiwa na wanawake wawili tofauti eti wanamimba na huyo mmoja baada ya kumaliza mambo yetu nilimpa p2 akaenda kumeza kwao lakin akaniambia eti kapata mimba

Hawa wanawake wote wawili mpaka kuzichomoa hzo mimba nimetumia almost 200,000 maana zilisumbua sana kutoka,kwahyo nikaanza na kuhudumia kuridisha mwili vizur mpaka sasa nimekoma,nimeanza mchakato wa kuwaacha taratibu ni baki na mke wangu tu

Kuna mwingine nimemaliza kumla wiki chache zilizopita nae nasubir kuambiwa kama amenasa maana alinishitukiza na game ya usiku sana na kondom sikuwa nazo nae hakuwa na pakulala na nilishindwa kumuacha lodge peke yake
 
Jirani usijaribu hizo ma kitu..
Me sijambo. Za wkend?
Siwezi jirani,nafurahi kama upo poa. Weekend ipo vzr tu,napumzika tu getto hapa ni kuangalia mpira tu.Vip ww unajichanganya katikati ya mji?(stand ndogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787])
 
Bila shaka kuna mbinu mpya imeingia ya kupiga hela za wanaume pasipo sie kujua

Mke wangu(yupo mbali kidogo na mimi kama km 30 hv,huwa naenda kumuona mara moja moja),huwa kuna mtu huwa anampa taarifa zangu zote kwa ninayoyafanya hasa ya wanawake.
Alishawahi niambia kuwa utakuja kusingiziwa mimba nyingi tu zingine hata zisizo kuwa zako

Na kweli bhana toka aniambie hata hazijapita miezi mingi nikajikuta naambiwa na wanawake wawili tofauti eti wanamimba na huyo mmoja baada ya kumaliza mambo yetu nilimpa p2 akaenda kumeza kwao lakin akaniambia eti kapata mimba

Hawa wanawake wote wawili mpaka kuzichomoa hzo mimba nimetumia almost 200,000 maana zilisumbua sana kutoka,kwahyo nikaanza na kuhudumia kuridisha mwili vizur mpaka sasa nimekoma,nimeanza mchakato wa kuwaacha taratibu ni baki na mke wangu tu

Kuna mwingine nimemaliza kumla wiki chache zilizopita nae nasubir kuambiwa kama amenasa maana alinishitukiza na game ya usiku sana na kondom sikuwa nazo nae hakuwa na pakulala na nilishindwa kumuacha lodge peke yake
Wacuba tushaelewa kilichotokea hasa hapo uliposema "mimba zilisumbua sana kutoka"

Wacuba wenzangu naomba mnisamehe kwa kutoa siri za kambi....
😂😂😂🙌🙌🙌
 
Kuoa sio suruhisho ya Mimba za nje wala matumizi makubwa ya hela.

So vijana tukatae NDOA kama kawaida.

Cha msingi ni kwamba kuwa na target+limitations sio kila Mbususu unakula na uchague mbususu classy wanaojielewa hata akisema kashika Mimba hamsumbuani (kuna Ke unatamani abebe Ujauzito wako) very intelligent, classy, Pisi (complete package) and on some point vihela vi mia mia havimsumbui ila ukiparamia hawa wavaa sandozi za manyoya lazima ile kwako.
 
Wacuba tushaelewa kilichotokea hasa hapo uliposema "mimba zilisumbua sana kutoka"

Wacuba wenzangu naomba mnisamehe kwa kutoa siri za kambi....
😂😂😂🙌🙌🙌
Asante kwa kunisanuwa

Hata hvyo nimekoma,sasa nataka nibaki na mke wangu tu
 
Back
Top Bottom