Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Amani iendeleee wananchi .
Baada ya maneno hayo mazito napenda kuchukua fursa hii kuwatanabaisha ndugu zangu wajarsiriamali na wazalendo ,wapenda uhuru wapenda amani kokote mlipo duniani
Huu uzi uwafikie watu wote
Bila kupoteza muda nimekaa na kuwazua nikaona ajira pekee haitoshi kufika target zangu za kuwa na economic muscles
Nikaona gap la kuanza kusambaza korosho kwa bei elekezi tu ambayo kila mfanya biashara anaetaka kununua kwangu atafaidika na faida lukuki.
Unakosaje kwa mfano? Unakosaje
Ipo hivi sina brand ndio naanza moja kwa kijiti kwa hiyo hakuna ubabaifu hata chembe ndio kwanza nawasha mtambo
Hakuna mtu atalipia alafu asitumiwe mzigo wake maana itakuwa huo ni utapeli wa kuaminika
Alafu nje ya jamiiforums ntakuwa nimeshusha sana brand yangu niliyotengeneza kwa muda mrefu.SIWEZI KUZIMA SIMU KISA LAKI MOJA MPKA MILION 50 .SIWEZI SIWEZI SIWEZI
KOROSHO NATOA HAPA HAPA MTWARA KWENDA MIKOA YOTE
tuna korosho nzuri na tamu za aina mbili
1. Roasted na
2. Nyeupe
For more info tutaweka utaratibu
Tunashukuru sana.
Mchedange Mtwara
Amani iendeleee wananchi .
Baada ya maneno hayo mazito napenda kuchukua fursa hii kuwatanabaisha ndugu zangu wajarsiriamali na wazalendo ,wapenda uhuru wapenda amani kokote mlipo duniani
Huu uzi uwafikie watu wote
Bila kupoteza muda nimekaa na kuwazua nikaona ajira pekee haitoshi kufika target zangu za kuwa na economic muscles
Nikaona gap la kuanza kusambaza korosho kwa bei elekezi tu ambayo kila mfanya biashara anaetaka kununua kwangu atafaidika na faida lukuki.
Unakosaje kwa mfano? Unakosaje
Ipo hivi sina brand ndio naanza moja kwa kijiti kwa hiyo hakuna ubabaifu hata chembe ndio kwanza nawasha mtambo
Hakuna mtu atalipia alafu asitumiwe mzigo wake maana itakuwa huo ni utapeli wa kuaminika
Alafu nje ya jamiiforums ntakuwa nimeshusha sana brand yangu niliyotengeneza kwa muda mrefu.SIWEZI KUZIMA SIMU KISA LAKI MOJA MPKA MILION 50 .SIWEZI SIWEZI SIWEZI
KOROSHO NATOA HAPA HAPA MTWARA KWENDA MIKOA YOTE
tuna korosho nzuri na tamu za aina mbili
1. Roasted na
2. Nyeupe
For more info tutaweka utaratibu
Tunashukuru sana.
Mchedange Mtwara