Naingia mwaka 2023 na Malengo yafuatayo; Tuonane December 28,2023

Naingia mwaka 2023 na Malengo yafuatayo; Tuonane December 28,2023

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani

Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]


NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.
IMG_20221228_222211_420.jpg
IMG_20221228_222216_869.jpg
IMG_20221228_222221_237.jpg
 
Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani

Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]


NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423
Kila la kheri mkuu. Maisha bila malengo ni kama chai isiyokuwa na sukari.
 
Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani

Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]


NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423
Mkuu mbona umesahau kuweka gharama za kilimo: pembejeo, umwagiliaji, kukodi shamba, gharama za vibarua, nk???
 
Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani

Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]


NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423

Mavazi 60000/= embu ifafanue vizuri
 
Aisee nakuombea ufanikishe.

Namie Nina lengo la kutoa akaunti yangu ya trading iniongezee digits 3. Yaani Kama Ni mfano Ni $5000 Basi sifuri tatu ziongeke mbele. Tuombeni tufanikishe.
Pia nashiriki USA championship trading contest ya mwaka 2023. Unaweza ukashiriki na wewe pia
 
Back
Top Bottom