Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,739
- 6,099
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta ya nazi mkuu, anajipaka mguuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta ya nazi mkuu, anajipaka mguuni
Ipo kwenye emergency & mengineyo mkuuSijaona budget ya service ya pikipiki
Sisomeshi uongo mbaya mkuuVipi husomeshi hata mtoto wa mjomba?
Mungu atusaidie mkuuMimi binafsi malengo yangu 2023 ni kujenga nyumba ya kuishi na kuhakikisha nimehamia , hayo ndo malengo yangu makuu , Namuomba Mungu nifanikishe hili[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mafuta ya nazi mkuu, anajipaka mguuni
Kwanini ufuge ng'ombe ili hali maziwa yanapatikana kwa bei nzuri tuKuoa muhimu
Hongera mkuu nilisikia kuwa uliumbwa hukuzaliwa, au na ww ni mtoto wa zinaa😂😂😂Kwanini ufuge ng'ombe ili hali maziwa yanapatikana kwa bei nzuri tu
Hayo mafuta ni Kwa mwezi au siku maana umeweka 32,000 ... Ni usafiri WA pikipiki au gari?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Inatosha mkuu Kuna mfanyakazi mwenzangu huwa nambeba naye huchangia kidogoHata kama ni pkpk sizan kama yatatosha labda iwe na cc50
MweziOya hii matumizi ni kwa Mwaka au!?
UtaonaNgoja tuone mudaa utaongeaa mkuuuu...
Inatosha mkuu Kuna mfanyakazi mwenzangu huwa nambeba naye huchangia kidogo
Hata kama hachangii 32000(Lita 10) inatosha mkuuApo saw ila kibajet inabd upange fully bila kujali mnachangiana ikitokea hvyoo iyo inakuw akiba
Hayo ww wasemaHongera mkuu nilisikia kuwa uliumbwa hukuzaliwa, au na ww ni mtoto wa zinaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mpangilio wako nimeupenda ila vipaumbele ni vingi! Kwenye hiyo pikipiki inamaana hauna safari ingine yoyote nje ya kazini?Hata kama hachangii 32000(Lita 10) inatosha mkuu
Jumla ya (Km 250- 300) mwezi mzima
Yaah kama Ipo means itajilipa, kama ni kwenda shambani basi budget yake Itakuwa kwenye uandaaji wa shamba ,I mean mafuta yataingia kama cost za uandaaji wa Hilo shambaMpangilio wako nimeupenda ila vipaumbele ni vingi! Kwenye hiyo pikipiki inamaana hauna safari ingine yoyote nje ya kazini?
Yes nimekujibu Ili upate jibu la hoja yako , kama umeelewa basi imekaa poaHayo ww wasema