antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
Kila la kheri mkuu. Maisha bila malengo ni kama chai isiyokuwa na sukari.Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani
Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]
NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423
Ni pikipiki mkuu , umbali wa km 6Hayo mafuta ni Kwa mwezi au siku maana umeweka 32,000 ... Ni usafiri WA pikipiki au gari?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kweli nduguKila la kheri mkuu. Maisha bila malengo ni kama chai isiyokuwa na sukari.
Ndio mkuu maana zinatokea misimu tofauti tofautikila la kheri ila hesabu zako kama Ziko ngumu, naona una projects ninyi sana
Ok nimekupataNi pikipiki mkuu , umbali wa km 6
Mkuu mbona umesahau kuweka gharama za kilimo: pembejeo, umwagiliaji, kukodi shamba, gharama za vibarua, nk???Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani
Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]
NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423
Habari wakuu , kuweka record sawa ni kuwa haya hapa chini ni malengo yangu ya mwaka 2023 ikionyesha MAKADILIO ya kipato , MATUMIZI,na MALENGO yangu dhumuni kuu likiwa kuweka kumbukumbu binafsi na kupata ushauri kwa waliofanikiwa ,siku na tarehe kama ya Leo 2023 nitakuja kutoa updates ya nini nimekifanya na kwa mafanikio gani
Ahsanteni na najitakia heri na utekelezaji mwema[emoji817][emoji419]
NB: Nimeona Uzi wa kutunza Siri na Siri yangu naitunza hapa [emoji23][emoji23] maana najua kupitia baraka zenu zitafanikisha kwa asilimia 101.View attachment 2461421View attachment 2461422View attachment 2461423
Mtumba wa Karume 😉Mavazi 60000/= embu ifafanue vizuri
Mtumba wa Karume 😉
Hio ni budget ya mwezi so naweza nunua shati moja ,au suruali etc..na mwezi mwingine hivo hivoMavazi 60000/= embu ifafanue vizuri
Hio ni budget ya mwezi so naweza nunua shati moja ,au suruali etc..na mwezi mwingine hivo hivo
Ipo kwenye savingMkuu mbona umesahau kuweka gharama za kilimo: pembejeo, umwagiliaji, kukodi shamba, gharama za vibarua, nk???