Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #161
Me ninauza papai kila mwezihuyu atakuwa anauza mbegu anatafuta wateja siyo rahisi kiivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me ninauza papai kila mwezihuyu atakuwa anauza mbegu anatafuta wateja siyo rahisi kiivyo
Noo wakuletwaAmetuona sisi wa kuja eeh🤣
Yanaozaje wakati yanatafutwa hayapatikaniNa mapapai yalivyo mengi mpaka yanaozeana 😂
Amepata alama FUpo mbali
Hahahahaah mnapenda vya bure hahahaKudadeeki.
Uko wapiPapai ni code? Au ni papai kweli......
Nakunya mavi tu choosing pwaaaaaahMLETA MADA KASHIBA MAPAPAI!
Nipigie baade naosha vyombo 😹Uko wapi
We unauza papai shambani bei ganKilimo cha mitandaoni hicho.
Kilimo halisi huwezi kuuza papai likiwa shambani kwa 1500/- labda shamba lako lipo pale Sokoni Kisutu au Ilala au Kariakoo au Mabibo.
Mimi nilipanda mipapai miche 700 mbegu ya kisasa Malikia F1. Naongea nikiwa na uzoefu.
Tumia mbegu za kwetu sio za ulaya unafeli ndio maana hauuziKilimo cha mitandaoni hicho.
Kilimo halisi huwezi kuuza papai likiwa shambani kwa 1500/- labda shamba lako lipo pale Sokoni Kisutu au Ilala au Kariakoo au Mabibo.
Mimi nilipanda mipapai miche 700 mbegu ya kisasa Malikia F1. Naongea nikiwa na uzoefu.
Papai kubwa linauzwa 3000Hiyo bei jumla ukifikisha sokoni tena mbegu ya kisasa papai kubwa sana na siyo msimu wa papai nyingi za kienyeji.
Kiangazi kikuu ukitoa papai kubwa Sana utauza 1500 hadi 2000 bei ya jumla ukifika sokoni kwa dalali.
Hapo bado dalali hajakusokota, pia kuna ushuru, usafiri na ulinzi.
Wacha tupige hela tukishakuwa matajiri tutawaitaWabongo watakimbilia kulima mapapai na kushusha soko maana yatakuja kuwa saturated.
Pole broHaya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
We ni mshamba na mwongo aseeKitu kingine gharama za umwagiliaji siyo ndogo, Mbolea ya samadi yakutosha muhimu.
Ukiweza vitu hivyo viwili utavuna papai la pesa utafurahia kilimo.
Njoo youtube utaonaJapo picha ya shamba lako.
KAZI ni kipimo cha UTU
Location ya kulima, kupanda au kuuza?Soko mtaani ndo linakupa MILLION 22 ....Nipe location afandee
Huyo sio mkulima ni dalalitupe update mkuu
MweziNi kwa mwezi au kwa mwaka?
Kizuri kula na wenzio bossMuda WA wewe kuwa na hela umefika ndio maana kilichokutoa unahisi pekee kiko sahihi Ila nikikwambia kuna watu wamepoteza pesa zao Kwa haya haya mapapai unaweza shangaa! All in all hongera Kwa ushuhuda mzuri