mbotoro kivoi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 973
- 1,358
Kivipi coz imenishinda kutofautish em tupe somo kw uzoefu wakUnajua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi coz imenishinda kutofautish em tupe somo kw uzoefu wakUnajua tu
Njoo youtube ntakufundishaKivipi coz imenishinda kutofautish em tupe somo kw uzoefu wak
Shamba yako iko kwa wapi ili nikuje nikuunge mkono upate kabisa 44m kwa kila mwezi mumoja?Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Kodi a.k a tozo
Nyumbani oysterbayShamba yako iko kwa wapi ili nikuje nikuunge mkono upate kabisa 44m kwa kila mwezi mumoja?
HamnaKodi a.k a tozo
Kivipi coz imenishinda kutofautish em tupe somo kw uzoefu wak
Money hebu tuone picha zake zikoje za papai yana uzito kilo ngapi.Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Tupe mchanganuo linachukua miezi mingapi mpk unavuna.Kiimo rahisi ni papai
Umewekeza sh.ngapi?maana hizi stori hazina tofauti na za yule Manguruwe,ambaye kwa sasa anashikiliwa na vyombo vya serikaliHaya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela