Naingiza milion 22 kwa mwezi kwa biashara ya kuuza Mapapai shambani

Naingiza milion 22 kwa mwezi kwa biashara ya kuuza Mapapai shambani

Nimecheka sana, papai unalima miezi sana!! Unafikiri ni mahindi, jf raha sana,
Uwe unasoma comment vizuri
Kwenye miezI 12 natumia miezi 7 kulimia papai, miezi 3 ni ya mvua huwezi lima papai kwenye miezi ya mvua
Kilimo cha papai hakihitaji maji mengi, ukiotesha mwezi wa 9 by mwezi wa 3 unakula papai
 
Haya kama mlivyosoma ni kweli

Hakuna biashara ina hela kama mapapai

Na hakuna biashara rahisi kama papai

Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja

Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku

Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja

Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Kwa uzoefu wako unajuaje papa dume likiwa dogo...
 
Back
Top Bottom