Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Msisahau ule msemo maarufu wa kikwete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaaaSawa. Asante sana kwa elimu
Ndio upi?Msisahau ule msemo maarufu wa kikwete
Code hiyo
best upo nimekukumbuka sanaMsisahau ule msemo maarufu wa kikwete
Unaweza bosspapai zinaweza kulimwa eneo la kibiti mkuu nambie nami nianze kulima
Nipo dar hapa bagamoyoUpo mkoa gani unalima mapapai au unaweza ukalima mkoa wowote hata Dar Es Salaam
Bagamoyo Dar??Nipo dar hapa bagamoyo
Ndio bossBagamoyo Dar??
Tangu lini bagamoyo ikawa Dar es salaam Mwl wa mapapi mpaka kichwa chako kimekuwa kama papai😁😁Nipo dar hapa bagamoyo
Sauwa mwl wa sayansi kimu na jiographiaTangu lini bagamoyo ikawa Dar es salaam Mwl wa mapapi mpaka kichwa chako kimekuwa kama papai😁😁
Nimecheka sana, papai unalima miezi sana!! Unafikiri ni mahindi, jf raha sana,hapana miezi ya mvua silimi papai nalima tikti
papai kwa mwaka nalima miezi 7
Uwe unasoma comment vizuriNimecheka sana, papai unalima miezi sana!! Unafikiri ni mahindi, jf raha sana,
Kwa uzoefu wako unajuaje papa dume likiwa dogo...Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Mkuu, naomba unitumie link na mimiNipo dar hapa bagamoyo
Unajua tuKwa uzoefu wako unajuaje papa dume likiwa dogo...
Uje inbox. NitakupaMkuu, naomba unitumie link na mimi