Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #241
mwenge. kawe, sinza, mbezi beach, tegeta. mbweni,Mbona huku papai 500 mpaka 1000
Hiyo 3000 wanauza masaki mtaa gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenge. kawe, sinza, mbezi beach, tegeta. mbweni,Mbona huku papai 500 mpaka 1000
Hiyo 3000 wanauza masaki mtaa gani
kama wewe sio?kuna Maboya yanatafutwa yapigwe za uso
bro povu vipi? tumia ukafulie boxer yako acha kudindaWewe boya ungekuwa unaingiza hizo hela kwa mwezi usingekuja kutafuta watu wa kuwapiga kupitia mafunzo uchwara huko You Tube.
ikawaje boss mvua zilipita nazo au>?Nililima hizo Papai.Sina hamu.
hahahahaha polyeeeeMasaki au mbezi beach? Huku kwetu uswaz ukiuziwa buku jero unalalamika balaa
bro chooni unaenda kweli au?Mara ya misho kula papai sikumbuki ilikuwa lini
Kawaida kabisa, sasa kama ata mimi sikumbuki nilikula lini, hiyo milioni 22 anaipata kutoka wapi?bro chooni unaenda kweli au?
pole sana boss endelea kuilalamikia serikaliKawaida kabisa, sasa kama ata mimi sikumbuki nilikula lini, hiyo milioni 22 anaipata kutoka wapi?
Nakipataje hicho kitabu?Nimekimaliza ni noma
youtube yangu au whatsapp ujeNakipataje hicho kitabu?
Maganda yake ni dawa ya kukosa usingiziView attachment 3062397haoa ukitoa ganda zote raha sana hasa kwa machangu
uweeMaganda yake ni dawa ya kukosa usingizi
Ndio uhakikauwee
meona ee?Uzi umeharibiwa na wahuni
sauwaNdio uhakika
Wewe ulifundishwa na nani?Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
maishaWewe ulifundishwa na nani?