Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unishawishi hio million 22 ni average baada ya mavuno tafadhariHaya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Nipo hapa nauza mbegu fupi za papai ndani ya siku 90 una vuna papai kubwa lenye uzito wa kilo 6 wahi kabla mzigo hauja isha mikoani tuna tuma …. Dar free home delivery utalipia mzigo utakpo fika … call 0713Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Waambie wanitafute ninayo ya kutosha nauza buku tu.Yanaozaje wakati yanatafutwa hayapatikani
Nikupeleke wapi?
Jela au?
punguza barua sina muda wa kusomaMbegu za asili OPV heirloom papai zinakuwa ndogo na zinaharibika haraka haziuzwi 3000 bei ya jumla. Labda supermarket.
Hazina bei kubwa.
Anayebisha aende hata kesho masoko yoyote makubwa ya matunda Dar.
Hapa hatuharibu biashara yako bali tunaweka taarifa sahihi watu wafanye decision sahihi kibiashara.
aiseeView attachment 3062397haoa ukitoa ganda zote raha sana hasa kwa machangu
hapana miezi ya mvua silimi papai nalima tiktikila siku unapata mavuno siku zote za mwaka?
punguza maneno mengiYombo na Buza wananunua papai soko la Stereo Temeke.
Hakuna papai ya bei ndogo bei ya jumla chini ya 500 na hakuna ya bei kubwa kufikia 3000 mbegu za asili.
Wewe waite watu waje subscribe YouTube channel yako wajifunze kilimo lakini usiweke bei za uongo utaumiza watu kisaikolojia mapato yakiwa kinyume na matarajio.
sauwa we nenda huko na huku kwangu wanakuja wenzioNdo ushanikosa hivyo. Video za mafunzo zipo kibao
njoo inbox nimekutumia namnaKuliaje sasa
ndio umeona sehemu ya maana mwenyeweKaribu kwetu Goba.
kweliUtoto raha sana
baada ya mavunoNaomba unishawishi hio million 22 ni average baada ya mavuno tafadhari
bagamoyoOya shamba lipo wapi mkoani au hapa dsm
UWEENipo hapa nauza mbegu fupi za papai ndani ya siku 90 una vuna papai kubwa lenye uzito wa kilo 6 wahi kabla mzigo hauja isha mikoani tuna tuma …. Dar free home delivery utalipia mzigo utakpo fika … call 0713
INBOXTuoane...umeshaji advitise kwamba pesa unayo ya kutosha...22 m si padogo kuanzia maisha ya ndoa