Naingiza milion 22 kwa mwezi kwa biashara ya kuuza Mapapai shambani

Naingiza milion 22 kwa mwezi kwa biashara ya kuuza Mapapai shambani

Hi
Haya kama mlivyosoma ni kweli

Hakuna biashara ina hela kama mapapai

Na hakuna biashara rahisi kama papai

Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja

Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku

Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja

Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
Hii hesabu yako kila nikiipiga simu inaandika"Chai" kwa hesabu tu ya kawaida haiwezekani, yaani kwa siku unauza karibia papai 490!!hahaaaa
 
Tupe maelekezo mkubwa, hatupati usingizi kabisa usiku
Chukua maganda ya ndizi ambayo yako vizuri


1. Kata kata vipande kisha chemsha kwa dk 10 kwenye moto mkali (Moto wa gesi ni bora zaidi)
2. Maganda ya ndizi ukiyachemsha kwa dakika 10 yatatoa Tryptophan na Amino acid, ambazo husaidia kuzalisha hormones zinazosababisha usingizi ambazo ni Serotonin na Melatonin.
3. Ikiwa una tatizo la Insomnia au kuamka mara kwa mara nyakati za Usiku (Kukosa usingizi) hii ni tiba tosha pasipo kutumia madawa ya Hospital.
4. Baada ya kuyachemsha kwa dk 10 yachuje kwa chujio la chai
5. Kunywa kikombe kimoja cha chai kwa matokeo mazuri zaidi weka kijiko kimoja cha asali koroga vizuri na unywe nusu saa kabla ya kulala.
6. Asali huruhusu tryptophan kuingia kwenye ubongo kwa urahisi zaidi.
 
Chukua maganda ya ndizi ambayo yako vizuri


1. Kata kata vipande kisha chemsha kwa dk 10 kwenye moto mkali (Moto wa gesi ni bora zaidi)
2. Maganda ya ndizi ukiyachemsha kwa dakika 10 yatatoa Tryptophan na Amino acid, ambazo husaidia kuzalisha hormones zinazosababisha usingizi ambazo ni Serotonin na Melatonin.
3. Ikiwa una tatizo la Insomnia au kuamka mara kwa mara nyakati za Usiku (Kukosa usingizi) hii ni tiba tosha pasipo kutumia madawa ya Hospital.
4. Baada ya kuyachemsha kwa dk 10 yachuje kwa chujio la chai
5. Kunywa kikombe kimoja cha chai kwa matokeo mazuri zaidi weka kijiko kimoja cha asali koroga vizuri na unywe nusu saa kabla ya kulala.
6. Asali huruhusu tryptophan kuingia kwenye ubongo kwa urahisi zaidi.
Wewe ni daktari?
 
Chukua maganda ya ndizi ambayo yako vizuri


1. Kata kata vipande kisha chemsha kwa dk 10 kwenye moto mkali (Moto wa gesi ni bora zaidi)
2. Maganda ya ndizi ukiyachemsha kwa dakika 10 yatatoa Tryptophan na Amino acid, ambazo husaidia kuzalisha hormones zinazosababisha usingizi ambazo ni Serotonin na Melatonin.
3. Ikiwa una tatizo la Insomnia au kuamka mara kwa mara nyakati za Usiku (Kukosa usingizi) hii ni tiba tosha pasipo kutumia madawa ya Hospital.
4. Baada ya kuyachemsha kwa dk 10 yachuje kwa chujio la chai
5. Kunywa kikombe kimoja cha chai kwa matokeo mazuri zaidi weka kijiko kimoja cha asali koroga vizuri na unywe nusu saa kabla ya kulala.
6. Asali huruhusu tryptophan kuingia kwenye ubongo kwa urahisi zaidi.
Asante sana 🤝
 
miaka ya nyuma huko...kuna kampuni ilitaka kuniajiri kusimamia mapapai huko kigamboni..nikazoom nikaona haiwezekani yaani wamejenga na kajumba hukohuko shamba nitulie huko...yakikomaa ndio nije mjini...nikagoma mbona mimi mwenyewe naweza yalima simpo tu...ila yanalipa sana hayo madude...wala huna stress nayo......hata mlaji anapata burudani akienda msalani fasta anarudi kama alienda toa haja ndogo kumbe alienda kubwa 😎 😛
 
Hi

Hii hesabu yako kila nikiipiga simu inaandika"Chai" kwa hesabu tu ya kawaida haiwezekani, yaani kwa siku unauza karibia papai 490!!hahaaaa
na ndio imekuvutia mpaka ukaja kuandia comment
 
miaka ya nyuma huko...kuna kampuni ilitaka kuniajiri kusimamia mapapai huko kigamboni..nikazoom nikaona haiwezekani yaani wamejenga na kajumba hukohuko shamba nitulie huko...yakikomaa ndio nije mjini...nikagoma mbona mimi mwenyewe naweza yalima simpo tu...ila yanalipa sana hayo madude...wala huna stress nayo......hata mlaji anapata burudani akienda msalani fasta anarudi kama alienda toa haja ndogo kumbe alienda kubwa 😎 😛
hahahaha kweli umenena
 
Back
Top Bottom