Naiomba timu yangu ya Simba Sports Club impe nafasi ya mwisho Ibrahim Ajibu Migomba, bado ana mchango mkubwa

Mimi ni Daktari. Nipo huko unakodai ni peak.

Unachopaswa kufahamu ni kuwa, kuna fani ambazo hazina ulazima wa kudhihirika ubora wa fani yako. Mfano Mwl wa Kiswahili, aende wapi kama si kubaki nchini?

Lakini, hasemi kwa nia njema ya kumotivate bali kwa nia ya kukejeli. Unaulizwa swali kiungwana, unajibu kwa kubwabwaja. Ni sahihi?

Ndiyo hiyo 'ego'. Udhaifu wa mwingine usikufanye wewe kujiona kwamba unachokiendea ni sahihi.
 
Kuna walimu wa kiswahili pia nje ya nchi....
 
Kuna walimu wa kiswahili pia nje ya nchi....
Je, huko nje ndo peak ya Kiswahili? Hapana.

Tanzania ndiyo kilele cha mafanikio ya lugha ya Kiswahili. Ukitaka kujijua wewe ni Mwalimu bobezi toka huko nchini kwako nenda Tanzania. Ukitoboa, haswa tutasema unaiweza.

By the way, what I was trying to clarify ni hiyo ego ya huyo dogo.
 
Kwenye ile interview alijibu fasaha sana, wee ulitaka ajibu vipii??
 
Ni mchezaji WA kawaida Sana. Anazidiwa na wachezaji wengi WA kitanzania. Bongo huwa tunatabia ya kusifia tu vipaji uchwara ni kama Haruna Moshi Boban alikuwa anasifiwa sijui anakipaji wakati kawaida Sana.
Boban yupi unamzungumzia wee? Hebu mpe heshima yake.
 
Mbona Morison mlishindwa kumlaani zaidi ya kukimbilia CAS na kuangukia pua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na leo anawachezesha kibwebwe huko yanga, yaan anawaburuza atakavyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora usemee wee, ajibu alijibu vizuri kabisaa
 
Mbona hii kama ID mpya ya popoma
 
Mchezaji mvivu, hana nidhamu ya mazoezi.. akacheze kwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…