Naiona ile Spirit ya 1995 ikirejea kwa kasi, CHADEMA na Chama kipya vitapata Wabunge wengi lakini CCM itashinda Urais. PM atatoka Upinzani

Naiona ile Spirit ya 1995 ikirejea kwa kasi, CHADEMA na Chama kipya vitapata Wabunge wengi lakini CCM itashinda Urais. PM atatoka Upinzani

Upuuzi,kwamba hao ropo ropo wanaweza Waziri ccm wabunge? Ina uhakika?

Jimbo lenyewe la Nkasi Kwa mbunge wao anaweza asishinde Kwa sababu waliompotisha ni Wana ccm kimkomoa Kessy na Magufuli,yule aliyeongoza kura za maoni anarejea
Labda Dr Biteko PhD atende Miujiza!
 
Mkuu ccm wana mbinu 36 za kuiba uchaguzi, mpk leo wametumia mbinu 6 tu. Hebu fikiria wakizitumia hizo mbinu 30 mwaka 2025 upinzani utatoboa?

Ili kuifikia ndoto ulionayo katiba mpya na bora yapaswa kuandikwa.
Hizo ni story za zamani tena za kijiweni
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate [emoji1]
Kama ni hivo basi WASHAFELI
 
Hakuna kitu kama hicho. Never.
1.CCM ni kama ANC, ZANU PF, MPLA. CCM siyo kama UNIP, MPC au KANU.
2. CCM ina uwezo wa kula matapishi yake. Yaani CCM can undergo self initiated(sponteneous) mutation, changes. Wanaweza kumuondoa anayeweza kusababisha wao kukosa kura hata kama ni muhimu kwao au mkubwa ndani yao kiasi gani.
3.CCM siyo chama cha siasa 100% kwa hapa Tanzania. CCM ni mfumo wa utawala na uongozi Tanzania, siku hizi mnaita Chama Dola. Yaani kila watu muhimu ndani ya mfumo ni either makada, wanachama wa kawaida au affliated na CCM.
4. Tanzania is less urbanised. Raia wengi wa Tanzania wapo vijijini. They are less concerned na aina ya chama cha siasa. Na kama kujua kidogo, basi wanaijua CCM kutokana na sababu za kihistoria.
5. Udhaifu wa ndani wa chama kikuu cha upinzani hapa Tanzania yaani CHADEMA. Majority share holders wa CHADEMA wameshindwa kuachia shares ili zimilikiwe na umma kwa maslahi mapana ya Taifa na chama. Wanahofia wakiachia shares, basi chama kitakufa. Hapo watachomokaje?
6. Mapambano ya kinga njaa ndani ya vyama vingine yanapewa umuhimu kuliko sera, siasa na matamanio ya kushika dola/madaraka.
Mkuu 'Midimay', unastahili heshima kwa mawazo uliyoweka hapa. Ni mawazo yaliyotumia fikra makini.
Mimi sikubaliani na baadhi ya hayo mawazo.

CCM kwa sasa ni debe tupu kabisa linalosubiri kutobolewa, kwa sababu limekwishadhoofishwa na kutu ndani kwa ndani.
Ni watu wachache sana humo ndani ya chama hicho sasa hivi unaoweza kuwategemea kwa mengi uliyoeleza wewe; mmoja ni huyo Kinana, sina mfano mwingine tena.

Ninakubaliana nawe kwa sehemu kubwa juu ya uaminifu wa wananchi, hasa huko vijijini kwa chama hiki; uaminifu ambao unatokana na sifa zilizojengeka kwa muda mrefu, hasa baada ya kuundwa kwa chama hiki. Hawa wananchi wameshikilia kumbukumbu tu ya mambo hayo ya zamani, bila kutambua mabadiliko makubwa yaliyokwishatokea ndani ya chama hiki.

Sikubaliani tena nawe kuhusu maelezo yako kwa CHADEMA, hii ni kasumba tu inayotumiwa, hasa na hawa watu ndani ya CCM kuhadaa wananchi wasiokuwa na udadisi wa mambo nje ya chama cha CCM. CHADEMA siyo chama cha hisa tena.
Tatizo ninaloliona kwa CHADEMA ni kukosa uongozi wenye moto ndani ya matumbo yao. Viongozi ambao wananchi wangewasikia na kuwasikiliza kwa makini zaidi. Lissu anajaribu, ila anaharibiwa tu na mtindo anaoutumia kueleza mambo wananchi wayaelewe, basi.Sekretarieti ya CHADEMA iliyofanya kazi wakati wa Slaa ingejipanga vizuri sasa hivi, mambo yangekuwa mazuri sana kwa chama hicho.

CCM sasa hivi walichobaki nacho na kukitegemea, ni hilo la 'Dola' ulilolieleza wewe. Binafsi naamini kuwa, hata hiyo 'Dola' itakuwa na watu ambao wanayajali maslahi ya nchi hii. Kinachotakiwa tu ni kwa CHADEMA kujieleza kwa wananchi, na kuwaelimisha baadhi ya hao ambao bado wanadhani CCM ya Mwalimu, chama cha wakulima na wafanyakazi bado kipo kikiwakilishwa na CCM hii ya Samia!
CCM hiyo ilishakufa siku nyingi, CCM hii ni chama cha "Hawa ni Wenzetu", chama cha wasaka fursa kwa njia zozote ziwezekanazo kujinufaisha wenyewe.
Hii siyo CCM inayojali maslahi ya taifa hili.
Ni CCM iliyogeuka na kuwa adui namba moja wa taifa letu.
 
Upo uwezekano wa kufanya marekebisho katika Katiba hii Ili kuruhusu kuundwa Tume huru ya Uchaguzi.

CDM kupitia Mnyika , pia Mwamakula wamependekeza vifungu kadhaa kwenye Katiba hii vibadilishwe Ili tuingie uchaguzi na Tume huru,

Wakikataa kurekebisha, tunadai Kwa maandamano ya Amani.

Hakuna kususia.
Heshima mkuu 'Rabbon'.

"Marekebisho katika Katiba na kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi" hakutakuwa na maana yoyote kama CHADEMA watategemea fadhila hiyo na kusahau kuwa hayo marekebisho kwa CCM ni kama kulaza akili za watu tu!

Rais bado atakuwa juu ya sheria zote, pamoja na uwezo wa kukanyaga kila kitu hata hayo marekebisho feki.
Hili ni muhimu watu walitambue, hasa kwa chama kama CHADEMA.

Dawa pekee ya kuyatibu maradhi haya, ni kwa wananchi kuwa tayari kukataa hujuma hizo; uhalifu wowote wanaoweza kuubuni CCM. Hiyo ndiyo dawa pekee.

Nafasi ipo nzuri sana kwa wananchi kuelezwa na kuelewa wajibu wao huo. Kazi hiyo (ngumu) inawaangukia sasa hivi CHADEMA, waifanye kwa umakini wote wanaoweza kuwa nao. Wawaelimishe wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, hakuna mbadala wa hili kwa sasa, ukiondoa yaliyofanyika kwa Ali Bongo hivi karibuni.
 
Heshima mkuu 'Rabbon'.

"Marekebisho katika Katiba na kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi" hakutakuwa na maana yoyote kama CHADEMA watategemea fadhila hiyo na kusahau kuwa hayo marekebisho kwa CCM ni kama kulaza akili za watu tu!

Rais bado atakuwa juu ya sheria zote, pamoja na uwezo wa kukanyaga kila kitu hata hayo marekebisho feki.
Hili ni muhimu watu walitambue, hasa kwa chama kama CHADEMA.

Dawa pekee ya kuyatibu maradhi haya, ni kwa wananchi kuwa tayari kukataa hujuma hizo; uhalifu wowote wanaoweza kuubuni CCM. Hiyo ndiyo dawa pekee.

Nafasi ipo nzuri sana kwa wananchi kuelezwa na kuelewa wajibu wao huo. Kazi hiyo (ngumu) inawaangukia sasa hivi CHADEMA, waifanye kwa umakini wote wanaoweza kuwa nao. Wawaelimishe wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, hakuna mbadala wa hili kwa sasa, ukiondoa yaliyofanyika kwa Ali Bongo hivi karibuni.
Naandika nafuta, naandika nafuta,

Anyway nimezuiwa kujibu zaidi ya hapa.

Tusubiri.
 
Samia hawezi kushinda 2025 (kwa uchaguzi huru na haki). Naye amejua ndiyo maana ameamua aingie kwenye uchaguzi na katiba chakavu ili ijaribu kumbeba. Maadui wa samia wameweza kumfarakanisha samia na wananchi. Ngoja nitoe mifano. 1. Wameweza kumchafua (amejichafua) suala la kuuzwa bandari. 2. Wameweza kueleza kwamba kikwete anatawala kwa mgongo wa samia. 3. Ndani ya ccm hakupo sawa pia. Timu samia vs timu magufuli. 4. Vikwazo vya uzanzibar. 5. Vikwazo vya jinsia. (hapo hadi wanawake wamesika wakisema "toka lini mwanamke akawa raisi?" nikagundua adui wa mwanamke ni mwanamke. 6. 7...
Umemaliza kila kitu mkuu.....2025 tutakomaa na hawa Cartels mpaka kieleweke
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
kwenye hii ndoto ulikua unastitukastuka sana 🤣
 
Heshima mkuu 'Rabbon'.

"Marekebisho katika Katiba na kuundwa Tume Huru ya Uchaguzi" hakutakuwa na maana yoyote kama CHADEMA watategemea fadhila hiyo na kusahau kuwa hayo marekebisho kwa CCM ni kama kulaza akili za watu tu!

Rais bado atakuwa juu ya sheria zote, pamoja na uwezo wa kukanyaga kila kitu hata hayo marekebisho feki.
Hili ni muhimu watu walitambue, hasa kwa chama kama CHADEMA.

Dawa pekee ya kuyatibu maradhi haya, ni kwa wananchi kuwa tayari kukataa hujuma hizo; uhalifu wowote wanaoweza kuubuni CCM. Hiyo ndiyo dawa pekee.

Nafasi ipo nzuri sana kwa wananchi kuelezwa na kuelewa wajibu wao huo. Kazi hiyo (ngumu) inawaangukia sasa hivi CHADEMA, waifanye kwa umakini wote wanaoweza kuwa nao. Wawaelimishe wananchi.

Kwa bahati mbaya sana, hakuna mbadala wa hili kwa sasa, ukiondoa yaliyofanyika kwa Ali Bongo hivi karibuni.
Kabisa hata mimi naona kama CDM wakijipanga vizuri kutoa elimu na awareness ya namna ya kupambana na timu ya wezi wa kura toka CCM naamini coming 2025 itakuwa ni jino kwa jino na hawataamini solidarity ya wananchi.
 
CCM inaenda kufa
Hilo litakuwa jambo la kusikitisha sana, kama ndani ya chama hicho kilichojijengea heshima kubwa duniani kutakuwa hakuna aliyebakia kukinusuru kisifikie mwisho wake kama unavyoeleza hapa.

Hicho chama kina historia ya kipekee sana, inasikitisha tu kwamba kimefikia kwenye ngazi hii ya kutisha sana.
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
Mbowe hajakataa tamaa tuu ya kuwa waziri mkuu baada ya masaa 72?
 
Mkuu 'Midimay', unastahili heshima kwa mawazo uliyoweka hapa. Ni mawazo yaliyotumia fikra makini.
Mimi sikubaliani na baadhi ya hayo mawazo.

CCM kwa sasa ni debe tupu kabisa linalosubiri kutobolewa, kwa sababu limekwishadhoofishwa na kutu ndani kwa ndani.
Ni watu wachache sana humo ndani ya chama hicho sasa hivi unaoweza kuwategemea kwa mengi uliyoeleza wewe; mmoja ni huyo Kinana, sina mfano mwingine tena.

Ninakubaliana nawe kwa sehemu kubwa juu ya uaminifu wa wananchi, hasa huko vijijini kwa chama hiki; uaminifu ambao unatokana na sifa zilizojengeka kwa muda mrefu, hasa baada ya kuundwa kwa chama hiki. Hawa wananchi wameshikilia kumbukumbu tu ya mambo hayo ya zamani, bila kutambua mabadiliko makubwa yaliyokwishatokea ndani ya chama hiki.

Sikubaliani tena nawe kuhusu maelezo yako kwa CHADEMA, hii ni kasumba tu inayotumiwa, hasa na hawa watu ndani ya CCM kuhadaa wananchi wasiokuwa na udadisi wa mambo nje ya chama cha CCM. CHADEMA siyo chama cha hisa tena.
Tatizo ninaloliona kwa CHADEMA ni kukosa uongozi wenye moto ndani ya matumbo yao. Viongozi ambao wananchi wangewasikia na kuwasikiliza kwa makini zaidi. Lissu anajaribu, ila anaharibiwa tu na mtindo anaoutumia kueleza mambo wananchi wayaelewe, basi.Sekretarieti ya CHADEMA iliyofanya kazi wakati wa Slaa ingejipanga vizuri sasa hivi, mambo yangekuwa mazuri sana kwa chama hicho.

CCM sasa hivi walichobaki nacho na kukitegemea, ni hilo la 'Dola' ulilolieleza wewe. Binafsi naamini kuwa, hata hiyo 'Dola' itakuwa na watu ambao wanayajali maslahi ya nchi hii. Kinachotakiwa tu ni kwa CHADEMA kujieleza kwa wananchi, na kuwaelimisha baadhi ya hao ambao bado wanadhani CCM ya Mwalimu, chama cha wakulima na wafanyakazi bado kipo kikiwakilishwa na CCM hii ya Samia!
CCM hiyo ilishakufa siku nyingi, CCM hii ni chama cha "Hawa ni Wenzetu", chama cha wasaka fursa kwa njia zozote ziwezekanazo kujinufaisha wenyewe.
Hii siyo CCM inayojali maslahi ya taifa hili.
Ni CCM iliyogeuka na kuwa adui namba moja wa taifa letu.
Heshima kubwa kwako pia. Hasa kwa kuwa umetofautiana kwa heshima na kwa hoja.
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate [emoji1]

Tafuta maisha yako hizo ramli hazitakusaidia
 
Ni Wazi kabisa 2025 Serikali ya Mseto inanukia na CCM imeanza mazoezi kwa kuteua Naibu Waziri mkuu ambaye hapigiwi kura na Wabunge.

Japo haipo kikatiba lakini uwezekano mkubwa ni Vyama vya Upinzani kutoa Wabunge wengi kuliko CCM na hivyo maamuzi ya nani awe Waziri mkuu yatakuwa mikononi mwao, hivyo CCM wataweka Naibu Waziri mkuu wa kuteuliwa Moja kwa Moja na Rais.

Hivyo CCM watacheza kama walivyocheza Zanzibar ambako Makamu wa kwanza wa Rais ametoka Upinzani lakini hana Nguvu za kumzidi Makamu wa pili wa Rais anayetoka CCM.

CCM huwa wanaona mbali sana.

Mungu wa mbinguni aubariki Nusu Mkate 😄
Asante kwa taarifa mkuu 😀
 
Back
Top Bottom