Naiona sura ya Rais Ruto, ila Utendaji madhubuti wa maendeleo na uthubutu kama alionao 'Genius' President Kagame

Naiona sura ya Rais Ruto, ila Utendaji madhubuti wa maendeleo na uthubutu kama alionao 'Genius' President Kagame

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na sikushangaa wala sijashangaa sana kwani ndiyo maana hata Siku Moja kabla ya Kuapishwa Kwake Rais Mteule wa Kenya Dkt. William Ruto alitumia muda mwingi kufanya Mazungumzo na Rais wa Rwanda 'Genius' Paul Kagame tofauti na wengine ambao aliishia Kuwasalimia tu.

Nimeweza kufuatilia Hotuba Kabambe aliyoitoa Juzi Rais Mteule wa Kenya Ruto na kugundua kuwa pamoja na kwamba ni Mkenya ila ana Vimelea vyote vya Kiutendaji alivyonavyo Rais wa Rwanda Paul Kagame na namtabiria anaenda kufanya makubwa ya Kimaendeleo kwa Kenya na Wakenya kama alivyofanya Rais Kagame kwa Wanyarwanda na Rwanda.

Huwezi kuwa na IQ Kubwa kama ya Rais Kagame halafu ukaishia tu Kuwalundikia Wananchi wako Mikodi isiyo na idadi ili Kuwakomoa wakati nchi ina Rasilimali za Kutosha ambazo kama zingetumika vyema basi hata Mfumuko wa Bei usingekuwa mkubwa, Ajira zingeongezeka na tungepumzika kwenda Kuwapigia Magoti Wazungu huku tukiwalamba Miguu.

Hongera mno Rais Mteule wa Kenya Ruto kwa kumuona Rais Kagame wa Rwanda ndiyo mfano wako na Dira yako ya Kuiongoza Kimaendeleo Kenya yako na isichelewe kama Taifa Moja jirani ambalo tokea Uhuru lipo lipo tu mpaka hii leo badala ya Kuhangaika na Maendeleo wanahangaika na Vibaka vya Mitaani vinavyofanana na Panya au Sungura Kiujanja.
 
Hawa 'Wasanii' wa Kanairo hawana majibu ya matatizo ya Kenya.. Ukiona mtu anaponda vitu vya mtangulizi wake hadharani na kubadili sera kibao 'over-night' mwogope sana.

Atakuwa anatafuta 'chaka la kujificha'.. Serikali yao kwa sasa haina hela na wataendelea kukopa kwa sana tu.

Muda ndiyo utasema..
 
Na sikushangaa wala sijashangaa sana kwani ndiyo maana hata Siku Moja kabla ya Kuapishwa Kwake Rais Mteule wa Kenya Dkt. William Ruto alitumia muda mwingi kufanya Mazungumzo na Rais wa Rwanda 'Genius' Paul Kagame tofauti na wengine ambao aliishia Kuwasalimia tu.

Nimeweza kufuatilia Hotuba Kabambe aliyoitoa Juzi Rais Mteule wa Kenya Ruto na kugundua kuwa pamoja na kwamba ni Mkenya ila ana Vimelea vyote vya Kiutendaji alivyonavyo Rais wa Rwanda Paul Kagame na namtabiria anaenda kufanya makubwa ya Kimaendeleo kwa Kenya na Wakenya kama alivyofanya Rais Kagame kwa Wanyarwanda na Rwanda.

Huwezi kuwa na IQ Kubwa kama ya Rais Kagame halafu ukaishia tu Kuwalundikia Wananchi wako Mikodi isiyo na idadi ili Kuwakomoa wakati nchi ina Rasilimali za Kutosha ambazo kama zingetumika vyema basi hata Mfumuko wa Bei usingekuwa mkubwa, Ajira zingeongezeka na tungepumzika kwenda Kuwapigia Magoti Wazungu huku tukiwalamba Miguu.

Hongera mno Rais Mteule wa Kenya Ruto kwa kumuona Rais Kagame wa Rwanda ndiyo mfano wako na Dira yako ya Kuiongoza Kimaendeleo Kenya yako na isichelewe kama Taifa Moja jirani ambalo tokea Uhuru lipo lipo tu mpaka hii leo badala ya Kuhangaika na Maendeleo wanahangaika na Vibaka vya Mitaani vinavyofanana na Panya au Sungura Kiujanja.
Mkuu wakulungwa tunakuchora tu na mada zako za kusadikika.....Una ugonjwa wa Sonona mkuu.Trust me
 
Na sikushangaa wala sijashangaa sana kwani ndiyo maana hata Siku Moja kabla ya Kuapishwa Kwake Rais Mteule wa Kenya Dkt. William Ruto alitumia muda mwingi kufanya Mazungumzo na Rais wa Rwanda 'Genius' Paul Kagame tofauti na wengine ambao aliishia Kuwasalimia tu.

Nimeweza kufuatilia Hotuba Kabambe aliyoitoa Juzi Rais Mteule wa Kenya Ruto na kugundua kuwa pamoja na kwamba ni Mkenya ila ana Vimelea vyote vya Kiutendaji alivyonavyo Rais wa Rwanda Paul Kagame na namtabiria anaenda kufanya makubwa ya Kimaendeleo kwa Kenya na Wakenya kama alivyofanya Rais Kagame kwa Wanyarwanda na Rwanda.

Huwezi kuwa na IQ Kubwa kama ya Rais Kagame halafu ukaishia tu Kuwalundikia Wananchi wako Mikodi isiyo na idadi ili Kuwakomoa wakati nchi ina Rasilimali za Kutosha ambazo kama zingetumika vyema basi hata Mfumuko wa Bei usingekuwa mkubwa, Ajira zingeongezeka na tungepumzika kwenda Kuwapigia Magoti Wazungu huku tukiwalamba Miguu.

Hongera mno Rais Mteule wa Kenya Ruto kwa kumuona Rais Kagame wa Rwanda ndiyo mfano wako na Dira yako ya Kuiongoza Kimaendeleo Kenya yako na isichelewe kama Taifa Moja jirani ambalo tokea Uhuru lipo lipo tu mpaka hii leo badala ya Kuhangaika na Maendeleo wanahangaika na Vibaka vya Mitaani vinavyofanana na Panya au Sungura Kiujanja.
Paul Kagame siyo genius bali ni mtu katili ambaye yuko tayari wakati wowote kuua mtu anayempinga katika madaraka. Ni dikteta tu ambae mikono yake imetapakaa damu za wasio na hatia. Ila auaye ķwa upanga, atakufa kwa upanga. Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom