Naiona Yanga yangu ikibomoka vipande vipande baada ya mechi na Rivers Utd

Umesahau kuwa TFF ndiyo inaionea Yanga?
Unadhani kuna mtu atatolewa pale?Wa kulaumu ni TFF bodi ya ligi na waamuzi waliohongwa na Mo
Chonde chonde viongozi wangu hasa GSM itilieni mkazo mechi hii na msipoanglia kwa umakini inaweza ikawa chanzo cha nyie kuondoka Yanga.

Atleast yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage.
 
Unasema Mpira una matokeo matatu hapohapo unasema yanga hii itapita mpaka makundi kwa kishindo.
 
Tuna hali ngumu kutokana na ratiba ilivyo, aina ya timu yetu na maandalizi lakini hatutabomoka vipande vipande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…