Sawa mkuuWote hakuna atakayechukua mwaka huu.
France au German
Hawajafanya kitu ila hapiti mtu jumapili iyowamefanyaje mku?
Subiri jumapili ifike utapata jibuwamefanyaje mku?
Hawajafanya kitu ila hapiti mtu jumapili iyo
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hao wazee watashinda tu makombe ya huko italia farmers leagueSubiri jumapili ifike utapata jibu
Uingereza akikutana na germany atapigwa nyingi
Utabiri wako ndugu Numero Uno unaelekea kutimiaKati ya Italia na Uingereza nikiambiwa nichague nani atatwaa ndoo ya euro moja kwa moja ni uingereza nampa nafasi.
Kafungwe ya mtoano uone kama utakuwa bingwa.2016 portugal hakushinda mechi hata moja ya makund