Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma je inaweza kua UGONJWA gani?
weka picha mkuu
analysis inatakiwa ifanyike kwa kina huku tukiona sehemu inayouma
Njoo inboxTuone picha ya hapo panapouma
Wengine wanasema gonorrhea ninywe azumaSTDs in progress, nenda hospital chap
Unaleta masikhara kwenye afya yako subiri ikatike hiyo.Njoo inbox
N. B usije ukaitamani
Naendelea kukukumbusha this is 9 inches machineUnaleta masikhara kwenye afya yako subiri ikatike hiyo.
Alianza siku ya tatu baada ya kulala na yule mwanamke, nikikojoa panauma sana na kiuno kuna mda panaumaMbali na maumivu, dalili nyingine? Mfano discharge au? Na maumivu yalianza lini?
Asante bro
Tusha jadili Sana hizi mada humu na kutoa muongozo.Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Sawa, inaenda mwezi sasa, inaenda mwezi sasaEeeh!!,yaani zama hizi unaenda peku!,,mwana wa kulitafuta ni mwana wa kulitaka hama kweli,.
Kwa ushauri nenda haraka kituo cha afya kachunguzwe na kupata tiba.
Unadhani ni UGONJWA ganiTusha jadili Sana hizi mada humu na kutoa muongozoe.
Embu fanya ku search Uzi humu pia hata uki scroll kwa Chini utaona nyuzi zenye shida yako 😊 fanya kujisomea chukua MAARIFA mkuu.
Nakusalimia Sana. Pole kwa tatizo lako pia.
Wasalaam.