Si mumeambiwa TRUMP ameondoa msaada Africa.bado mnaendelea ku-risk?Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mumeambiwa TRUMP ameondoa msaada Africa.bado mnaendelea ku-risk?Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Sawa bro, nimepewa dawa kwenye pharmacyWazee kwenda hospitali sio dhambi,Acheni kujichukia. Nenda hata kituo cha afya kilichopo mbali zaidi na nyumbani kama unaona itakuletea shida pale karibu na nyumbani, ila usitafute msaada kiselasela hivi.
Haiko sawa mkuu
Ilikua mwezi na masiku ni kabla Trump hajatoa misaadaSi mumeambiwa TRUMP ameondoa msaada Africa.bado mnaendelea ku-risk?
Hata hivyo notice ya Trump ni ya siku 90 tu muda ule ule wa miezi mitatu ya kurudia kupima HIV,.Nenda hospitali upate vipimo sahihi vya magonjwa ya ngono.usione aibu ili uweze kudhibiti tatizo lako liliosababishwa na ngono ikiwa bado mapema.Inaweza kuwa ni UTIIlikua mwezi na masiku ni kabla Trump hajatoa misaada
Hongera sana, ila epuka zinaa.Mimi ni "KATAA NDOAAA" ushindwe na ulegee kunishawishi kuoa! Tena ushindwe ma ushindwe
Khaaaaa wewe ni mwambaBro sijui niseme ni kujisahau ama uzembe, condom nilikumbuka wakati nimeshapiga bao mbili
Kawaida broKhaaaaa wewe ni mwamba
Sawa ushaur tumia dawa yangu namba yangu ni 0712505049 utaponaLeta ushauri hapa
Sihitaji namba nataka ushauri humuSawa ushaur tumia dawa yangu namba yangu ni 0712505049 utapona