Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Wahiii hospital hatari hiyo .....Gono au Pangusa ngoma itapukutikaa hiyonwahi uanze doseKiaje bloh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahiii hospital hatari hiyo .....Gono au Pangusa ngoma itapukutikaa hiyonwahi uanze doseKiaje bloh
Kuna dawa nimepewa zinauzwa buku jero zipo kumi nusu dozi ndio nazisikiliziaWahiii hospital hatari hiyo .....Gono au Pangusa ngoma itapukutikaa hiyonwahi uanze dose
Nipe moyo blazaUmeyataka mwenyewe , subiria kuvuna ulichopanda
Hahahahahhaa pole sana sawa sikilizia....Azuma inasaidia piaKuna dawa nimepewa zinauzwa buku jero zipo kumi nusu dozi ndio nazisikilizia
Covid 19 hiyoMwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Sawa bro ila nimeambiwa ndani ya hizi siku ninazokunywa dawa nisishiriki tendo hapo ndio inanifosi nijizuie kuwaza hayo mamboHahahahahhaa pole sana sawa sikilizia....Azuma inasaidia pia
Ndio mwezi nilidhani itaondoka yenyewe, covid tangu lini ikashambulia kwenye AK47 tu? Bila homa wala niniCovid 19 hiyo
Wahi kizuizini ilinusiambukize wengine
Mwezi?
Hauko serious na afya yako wewe
Y unaenda peku dunia hii chafuuu hivi ???Sawa bro ila nimeambiwa ndani ya hizi siku ninazokunywa dawa nisishiriki tendo hapo ndio inanifosi nijizuie kuwaza hayo mambo
Hapo una wasiwasi na kitu gani labda au yenyewe kabisa ile nyekunduNdio mwezi nilidhani itaondoka yenyewe, covid tangu lini ikashambulia kwenye AK47 tu? Bila homa wala nini
Nyekundu kivipi? Ni maumivu yanakua makali mda wa kukojoa, ila nilipiga show kwa malaya kama mara mbili sikusikia maumivu wakati wa kumwagaHapo una wasiwasi na kitu gani labda au yenyewe kabisa ile nyekundu
Bro sijui niseme ni kujisahau ama uzembe, condom nilikumbuka wakati nimeshapiga bao mbiliY unaenda peku dunia hii chafuuu hivi ???
Kama wewe auHii ni ngoma stage 1
Kuna watu hamuogopi magonjwa?. Usijaribu kujitibu bila kupima. Nenda hospital usiogope tafadhali. Nenda hospital nzuri. Watakupima damu na mkojo haizidi elfu 10.Wengine wanasema gonorrhea ninywe azuma
Sometimes we have to learn in a HARD way so we don't repeat over again....Nipe moyo blaza
Sawa bro nashukuru kwa ushauri, sikwenda hospitali nilipitia duka la dawa nikapewa dawa "nitrofuration" ni vidonge vya njano vidogovidogoKuna watu hamuogopi magonjwa?. Usijaribu kujitibu bila kupima. Nenda hospital usiogope tafadhali. Nenda hospital nzuri. Watakupima damu na mkojo haizidi elfu 10.
Uende hospital ksbb unaweza ukawa na ugonjwa zaidi ya huo. Na tiba yake inaweza ikawa ni moja.
Noo tunapokosea tunapaswa kuelekezwa hamna alie mkamilifuSometimes we have to learn in a HARD way so we don't repeat over again....