Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mana unajisifia katika shida 🤣😂 na unaeza kuta team Kiba💯Kama yako sio
Tulia dogo unajichekesha ukidhani wote vibamiaMana unajisifia katika shida 🤣😂 na unaeza kuta team Kiba💯
Usinicheke niliteleza😂😂😂😂
Sawa mzeeWahi hospitali kijana
Upigie nyeto?Weka picha tuone tukushauri vizuri
Weka hicho kibamia tuone kwanini ukikojoa kinaumaUpigie nyeto?
Mtoto wa kiume usipende kuona mashine za miambaWeka hicho kibamia tuone kwanini ukikojoa kinauma
Miamba gani dogo, una kibamia, narudia unakiba 100, una kiba 100Mtoto wa kiume usipende kuona mashine za miamba
Tumia tafsida brTulia dogo unajichekesha ukidhani wote vibamia
Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Hapo ndo tatizo huanza. Hospitali waweza kuambiwa hutatibiwa hadi umlete mwenzi wako kuepusha maambukizi zaidi. Halafu kumbe alikuwa malaya? Nakushauri ujitahidi umpate mwenzi wako wa kuishi naye kuondokana na matatizo kama hayo. Nikutakie kila la kheri. AsanteNiongozane na malaya?? Nimekuja huku kupewa ushauri kama huu unaonipa
Hpv dawa ipo 0712505049Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Mimi ni "KATAA NDOAAA" ushindwe na ulegee kunishawishi kuoa! Tena ushindwe ma ushindweHapo ndo tatizo huanza. Hospitali waweza kuambiwa hutatibiwa hadi umlete mwenzi wako kuepusha maambukizi zaidi. Halafu kumbe alikuwa malaya? Nakushauri ujitahidi umpate mwenzi wako wa kuishi naye kuondokana na matatizo kama hayo. Nikutakie kila la kheri. Asante
Leta ushauri hapaHpv dawa ipo 0712505049
KifutiooooooMwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Kiaje blohKifutioooooo