Naipata maumivu nikikojoa siku chache baada ya kufanya mapenzi. Huu utakuwa ni ugonjwa gani?

Naipata maumivu nikikojoa siku chache baada ya kufanya mapenzi. Huu utakuwa ni ugonjwa gani?

Nenda hosp. wajue tatizo ni nini

Kipindi nipo shule niliwahi kumshuhudia dada mmoja kila wakati unamkuta kajichanua nyuma ya bweni huku akijipepea, baadaye nikasikia ana gono.
 
Mwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.

Je, inaweza kua UGONJWA gani?

Bado tu haujasikia kwamba Trump amejitoa WHO? PEPFAR hawaleti Mzigo kwenye "Mbaazi" , JAY MO miaka hiyo ya early 2000 alisema "Hapa hakuna Demu wa kuenda naye nyama kwa nyama" baada ya miaka 20 bado tu unauza mechi kwa Mlupo? Unatembelea rim? Kisiwa Dry Chama?
 
Niongozane na malaya?? Nimekuja huku kupewa ushauri kama huu unaonipa
Hapo ndo tatizo huanza. Hospitali waweza kuambiwa hutatibiwa hadi umlete mwenzi wako kuepusha maambukizi zaidi. Halafu kumbe alikuwa malaya? Nakushauri ujitahidi umpate mwenzi wako wa kuishi naye kuondokana na matatizo kama hayo. Nikutakie kila la kheri. Asante
 
Hapo ndo tatizo huanza. Hospitali waweza kuambiwa hutatibiwa hadi umlete mwenzi wako kuepusha maambukizi zaidi. Halafu kumbe alikuwa malaya? Nakushauri ujitahidi umpate mwenzi wako wa kuishi naye kuondokana na matatizo kama hayo. Nikutakie kila la kheri. Asante
Mimi ni "KATAA NDOAAA" ushindwe na ulegee kunishawishi kuoa! Tena ushindwe ma ushindwe
 
Back
Top Bottom