Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Captain Fire you have caught fire, call fire department asap or your fire spitting spot might fail to fire properlyMwezi umepita nililala na mwanamke bila Kinga, mpaka leo nikikojoa panauma.
Je, inaweza kua UGONJWA gani?
Kama mapema ivo inawezekana ni Gonorrhea. Fanya uende hospital mambo yanalika ndani kwa ndani.Alianza siku ya tatu baada ya kulala na yule mwanamke, nikikojoa panauma sana na kiuno kuna mda panauma
Duh Sawa, je nikinunua azuma?Kama mapema ivo inawezekana ni Gonorrhea. Fanya uende hospital mambo yanalika ndani kwa ndani.
Naacha umalayaPole mkuu, acha kuopoa mno
Nenda Hospital Mkuu humu kila mtu ana maoni na ushauri wake, utapotea tu. Halafu unaokota mwanamke ambaye hata humjui tabia zake unaenda kutembea pekuUnadhani ni UGONJWA gani
Sawa blohUsione aibu wahi hospitali wakupime wakuanzishie dozi ... hapa tutapiga ramli tu
😃Unaleta masikhara kwenye afya yako subiri ikatike hiyo.
Usitumie dawa bila ushauri wa DaktariDuh Sawa, je nikinunua azuma?
Bro nilimchukulia bar sasa baada ya bao mbili ndio nikakumbuka kwamba si kuvaa kingaNenda Hospital Mkuu humu kila mtu ana maoni na ushauri wake, utapotea tu. Halafu unaokota mwanamke ambaye hata humjui tabia zake unaenda kutembea peku
STI's / STD'sUnadhani ni UGONJWA gani
Sawa broUsitumie dawa bila ushauri wa Daktari
Naunga mkono hojaUsitumie dawa bila ushauri wa Daktari
Kuwa makini ARV zimekata 🤣🤣🤣Bro nilimchukulia bar sasa baada ya bao mbili ndio nikakumbuka kwamba si kuvaa kinga
Sawa bro utakua umenisaveSTI's / STD's
Sexual transmitted infections
Sexual transmitted diseases
Nimechoka kuandika / kuelezea ngoja nipate sehemu nikuchambulie kidogo tukutane baadae.
Dah unanikosesha nguvuKuwa makini ARV zimekata 🤣🤣🤣