Naipenda sana Yanga, lakini South Mhm!!

Naipenda sana Yanga, lakini South Mhm!!

Tumeshawazoea. Sasa hivi mnajifanya kutoa tahadhari (hata kwa Rivers United mlisema hivi hivi)!

Halafu Yanga wakishinda, mnabadikisha tena kiswahili kwa kusema walicheza na timu dhaifu, na inayotaka kushuka daraja!
Ni kweli timu za msimu huu kwenye confederation ni dhaifu
 
Mungu ibariki Yanga…!!

Kila la kheri kwa Yanga…!!!

Naamini TUTASHINDA NA TUTAINGIA FAINALI…!!

Hakuna linaloshindikana..!! Kama Yanga walikuwa bora hapa Tanzania WAKASHINDA, na Marumo wakawa DHAIFU, basi na UDHAIFU WAO HUO UENDELEE hata huko kwao…!!!
 
Wale jamaa wanajua mpira. Yaani Yanga pamoja na kushinda goli mbili lakini walizidiwa possession. Na hii ni kwa mara ya kwanza kwa Yanga kuzidiwa kwa possession kwenye mechi za kimataifa.

South Africa hakuna usalama kwa kweli. Yanga wanatakiwa wacheze kwa nidhamu ya hali ya juu.
 
Mkuu mpira ni mbinu na sio kukimbia kimbia uwanjani. Unadhani Marumo Gallants wamefungwa Dar kwa kupenda? Mechi ya Pyramids kule Misri walitoka sare na Pyramids ndio waliosawazisha. Mechi iliyofuata kule South Marumo wamepata goli moja pekee dhidi ya Pyramids. Cha kwanza unaona mzani uliopo kwao wa Yanga ni kama Yanga imewaacha kwa upande wa ubora. Yanga wana kazi ndogo sana kufuzu kuliko wao wanaodaiwa nagoli mawili. La pili Yanga huwa wanacheza vizuri sana away kuliko nyumbani. Mechi ya Al Hilal yanga pamoja na kufungwa goli moja lakini alitawala mchezo, mechi ya club African ndio kabisa Yanga akawatolea huko huko kwao, mechi dhidi ya Monastir Yanga ilitawala mchezo wakafanyika uzembe kwenye set pieces Tp Mazembe, Real Bamako na Rivers wote hawa wameshindwa kumfunga Yanga wakiwa makwao.

Approach nzuri ya Yanga + utulivu ndio itakayoamua mechi, lakini sio mechi rahisi hivyo unavyochukulia wewe kwa hao Gallants, wangeanza kumpiga nyingi Pyramids
Mpira ni mbinu
 
Back
Top Bottom